William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #61
Tatizo hata hao tunao waita "wapiganaji" kuna wengi tu kati yao ni wanafiki and they are just paying lip service. Kama wapiganaji wapo very serious waunganishe nguvu na kuunda chama kipya from the ground up. Ila hii ita hitaji kuji tolea kwa hali ya juu na kutambua kwamba wao wanaweza wasi faidi hayo matunda binafsi(kwa maana wasianzishe chama kipya kwa kila mmoja wao kuwa na dhana ya kupata cheo fulani). Tanzania ina hitaji chama walau kimoja cha upinzani chenye nguvu na hiyo inaweza kuwa ndoto ya wapiganaji hao.
- Sawa sawa mkuu, mawazo mazito sana na tupo pamoja hapo, ndio mambo ya Great Thinking haya na yatafikishwa kama yalivyo.
Respect.
Field Marshall Es!