The blessed one1
Member
- Dec 13, 2023
- 30
- 106
Wakuu.
Kiukweli hapo nyuma nilikuwa si mtu wa mademu kabisa.
Nimesoma o level na a level fresh , nilipomaliza six , nilijitahidi kutongoza girls angalau namimi nichakate mbususu bila mafanikio.
Sasa nimeenda chuo the same girls na wengine wengi nimejaribu kuwatongoza hawakatai,
Ninawaza nianze rasmi kuwachakata mmoja baada ya mungine, na kutafuta wengine zaidi , dah hii sijui ni roho ya kishetani inanishawishi.
Lakini nikakumbuka kuna jamii ya wanajf, kabla sijaingia kwenye hio dunia ambayo sasa naona nina soko , naombeni mawili matatu wakuu, tafadhali sana.
Kiukweli hapo nyuma nilikuwa si mtu wa mademu kabisa.
Nimesoma o level na a level fresh , nilipomaliza six , nilijitahidi kutongoza girls angalau namimi nichakate mbususu bila mafanikio.
Sasa nimeenda chuo the same girls na wengine wengi nimejaribu kuwatongoza hawakatai,
Ninawaza nianze rasmi kuwachakata mmoja baada ya mungine, na kutafuta wengine zaidi , dah hii sijui ni roho ya kishetani inanishawishi.
Lakini nikakumbuka kuna jamii ya wanajf, kabla sijaingia kwenye hio dunia ambayo sasa naona nina soko , naombeni mawili matatu wakuu, tafadhali sana.