Nini inaifanya Zanzibar iizidi Comoro kwa umaarufu?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,895
6,662
Zote ni visiwa katika bahari ya Hindi. Lakini ukivlinganisha, Zanzibar ni maarufu zaidi.

Kwa nini imekuwa hivyo?

Inaweza kuwa ni kwa vile Zanzibar inanufaika na rasilimali za Tanganyika? Comoro ikipata fursa ya kuvifaidi vya Tanganyika kama Zanzibar itaweza kuwa maarufu kama Zanzibar?
 
Zote ni visiwa katika bahari ya Hindi. Lakini ukivlinganisha, Zanzibar ni maarufu zaidi.

Kwa nini imekuwa hivyo?

Inaweza kuwa ni kwa vile Zanzibar inanufaika na rasilimali za Tanganyika? Comoro ikipata fursa ya kuvifaidi vya Tanganyika kama Zanzibar itaweza kuwa maarufu kama Zanzibar?
comoro ikijiunga na tanganyika itaipiku zanzibar. Sijui kwa nini kina nyerere hawakuona umuhimu wa kuviunganisha visiwa hivyo na tanganyika. Muda upo kama vipi mazungumzo yafanyike comoro iwe sehemu ya tanzania, wale ni waswahili wenzetu tuwajumuishe kama zanzibar
 
comoro ikijiunga na tanganyika itaipiku zanzibar. Sijui kwa nini kina nyerere hawakuona umuhimu wa kuviunganisha visiwa hivyo na tanganyika. Muda upo kama vipi mazungumzo yafanyike comoro iwe sehemu ya tanzania, wale ni waswahili wenzetu tuwajumuishe kama zanzibar
Mbona inasemekana wanaoongea Kiswahili ni kama asilimia moja ya Wacomoro?
 
comoro ikijiunga na tanganyika itaipiku zanzibar. Sijui kwa nini kina nyerere hawakuona umuhimu wa kuviunganisha visiwa hivyo na tanganyika. Muda upo kama vipi mazungumzo yafanyike comoro iwe sehemu ya tanzania, wale ni waswahili wenzetu tuwajumuishe kama zanzibar
Comoro wanafaidi mema ya France waje kujichanganya Tena Kwa Mwenezi?
 
Naipenda nchi yangu Jamhuri ya Tanganyika
FB_IMG_1702085740919.jpg
 
Back
Top Bottom