Nini hatma ya ndoa hii? Naombeni ushauri urgent

Nini hatma ya ndoa hii? Naombeni ushauri urgent

Achana na kupiga mwanamke kama ulikuwa na tabia za kukaa kimya ungeendelea tu. Maana kama ni kuchukua mashati ungeuliza yapo wapi ungechukua mwenyewe. Kwa mujibu wa Profesa Vulata ni kwamba mwanamke wako tayari kaonja nje na pia kuna vitu kagundua huko nje. Wanawake japo ni mama zetu wana vichaa sana. Kama unaweza mkalie kimya kbs ningekuwa mimi ndio kashanipoteza kitendo cha kuletewa chakula na dume mwenzio kaka wa mkeo ni dharau kubwa sana.MKALIE KIMYA KABISA. Usimtafute. Swali fikirishi ebu fafanua nyumba ina vyumba vingapi kiasi cha kutojua mke wako yupo chumba gani? Usiwe muungwana sana na mtu aliyeongea na koboko.
 
Achana na kupiga mwanamke kama ulikuwa na tabia za kukaa kimya ungeendelea tu. Maana kama ni kuchukua mashati ungeuliza yapo wapi ungechukua mwenyewe. Kwa mujibu wa Profesa Vulata ni kwamba mwanamke wako tayari kaonja nje na pia kuna vitu kagundua huko nje. Wanawake japo ni mama zetu wana vichaa sana. Kama unaweza mkalie kimya kbs ningekuwa mimi ndio kashanipoteza kitendo cha kuletewa chakula na dume mwenzio kaka wa mkeo ni dharau kubwa sana.MKALIE KIMYA KABISA. Usimtafute. Swali fikirishi ebu fafanua nyumba ina vyumba vingapi kiasi cha kutojua mke wako yupo chumba gani? Usiwe muungwana sana na mtu aliyeongea na koboko.
Vyumba vinne, najua yupo ndani ila sasa kuingia vyumba vya watoto wa kike nooma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyumba vinne, najua yupo ndani ila sasa kuingia vyumba vya watoto wa kike nooma

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mke uliolewa ama ulioa mwenyewe? Mkeo unaogopa kuingia chumba cha wadada una mila za kizamani sana wewe mtu. Ngoja akulalie na mwanaume humo ndani ndio akili zitakusogea. Fanya ambush kila chumba hana adabu.
 
Achana na kupiga mwanamke kama ulikuwa na tabia za kukaa kimya ungeendelea tu. Maana kama ni kuchukua mashati ungeuliza yapo wapi ungechukua mwenyewe. Kwa mujibu wa Profesa Vulata ni kwamba mwanamke wako tayari kaonja nje na pia kuna vitu kagundua huko nje. Wanawake japo ni mama zetu wana vichaa sana. Kama unaweza mkalie kimya kbs ningekuwa mimi ndio kashanipoteza kitendo cha kuletewa chakula na dume mwenzio kaka wa mkeo ni dharau kubwa sana.MKALIE KIMYA KABISA. Usimtafute. Swali fikirishi ebu fafanua nyumba ina vyumba vingapi kiasi cha kutojua mke wako yupo chumba gani? Usiwe muungwana sana na mtu aliyeongea na koboko.
[/QUOT.
Yaani umegonga mule mule mzeya.
 
Huu ni upande wako ndo tumeusikia..yeye hatujamsikia..lakini inaonekana wife wako anamzigo moyoni mwake..tafuta njia sahihi ya kuweza kuzungumza nae utakuja kugundua kuna vitu vingine unavyovifanya vinamkwaza sana na hakwambii..matokeo ndo kama haya sasa ..
Umeongea vyema sana nilliwaza hivi pia lazima ana kitu moyoni ambacho kinampa wakati mgumu either hii safari yako au mali alizozungumzia kuna tatizo...
 
Ila mkuu inaonekana we ndo umefuga tatizo, sababu inaonekana kuna series ya mambo mengi ila ulikuwa uchukui hatua.
Kuwa mpole na kukaa kimya kila anapokosea sio kuwa ndo utaoneka gentlemen,bali mkeo amekuona dhaifu na kuna siku atakunasa hata kibao.
Ushauri wangu mkuu, hakikisha kabla ujasafiri;
Shemeji rudisha kwao, dada wa kazi ondoa, fungua nyumba safiri mkuu
 
Kwa mwanamke anayejitambua atajishusha kwa mumewe hata kama kosa sio lake, hapo ni kama mnashindana sasa kama hakupenda safari ya mume si angesema wasiwasi wake uko wapi kuliko kutoa majibu ya hovyo.
Pili, angetaka suluhu na mumewe asingejificha ilihali anajua mwenzake anasafiri , mwanamke ni kama anakomoa hivi au kaamua kuwa liwalo na liwe
 
nasubiri mrejesho pia
Mkuu Kikoozi na great thinkers wote naomba kutoa mrejesho kidogo!!

Sijaonana naye tangu hiyo Jana wala simu hazipatikani ila nilitega sms naona zime deliver, inaonekana anazima simu nakuwasha. Nimeamua kusafiri tu maana sikuwa na maamuzi mengine sababu naona kibri anacho na hata nikiendelea kusubiri naona napoteza tu muda.

Nimeacha pesa za matumizi, nimeandika na note yenye maneno "I'm soory, nikaweka na mistari ya bibilia yenye maneno ya upatanishi, pia Jana nilinunua zawadi flani za kuombea msamaha kwa hiyo hivyo vitu pamoja na hela ha matumizi nimeweka sehemu kabatini, akifungua atakutana navyo!!

Nasubiri nione response yake nione!!


Nawashukuruni sana kwa ushauri wenu na mawazo yenu makubwa ya kujenga!!

Mremaa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Kikoozi na great thinkers wote naomba kutoa mrejesho kidogo!!

Sijaonana naye tangu hiyo Jana wala simu hazipatikani ila nilitega sms naona zime deliver, inaonekana anazima simu nakuwasha. Nimeamua kusafiri tu maana sikuwa na maamuzi mengine sababu naona kibri anacho na hata nikiendelea kusubiri naona napoteza tu muda.

Nimeacha pesa za matumizi, nimeandika na note yenye maneno "I'm soory, nikaweka na mistari ya bibilia yenye maneno ya upatanishi, pia Jana nilinunua zawadi flani za kuombea msamaha kwa hiyo hivyo vitu pamoja na hela ha matumizi nimeweka sehemu kabatini, akifungua atakutana navyo!!

Nasubiri nione response yake nione!!


Nawashukuruni sana kwa ushauri wenu na mawazo yenu makubwa ya kujenga!!

Mremaa



Sent using Jamii Forums mobile app
Ulisema uko kanda ya ziwa, nadhani mkeo katoka kabila la Nyamangambile...wanamidomo sana hawa ila umefanya jambo jema japo si sana kumuomba msamaha.
 
Halafu mkuu mwanamke hapigwi anapigwa na kipande cha kanga lakini katika unaweka jiwe
..
Au mpe ela bandia ataenda pigiwa sokoni

Anyway muombe samahani kuepusha Shari unaeza mwagiwa maji ya moto usiku huu ukiwa umelala
Mkuu kipande cha kanga unakielewa lakini??kipande cha kanga wahenga wameficha jambo hapo..yaani mwanamke anapigwa na mbo***oo
 
unaomba msamaha kwa mkeo? utakuwa wa Dar.
Mkuu Kikoozi na great thinkers wote naomba kutoa mrejesho kidogo!!

Sijaonana naye tangu hiyo Jana wala simu hazipatikani ila nilitega sms naona zime deliver, inaonekana anazima simu nakuwasha. Nimeamua kusafiri tu maana sikuwa na maamuzi mengine sababu naona kibri anacho na hata nikiendelea kusubiri naona napoteza tu muda.

Nimeacha pesa za matumizi, nimeandika na note yenye maneno "I'm soory, nikaweka na mistari ya bibilia yenye maneno ya upatanishi, pia Jana nilinunua zawadi flani za kuombea msamaha kwa hiyo hivyo vitu pamoja na hela ha matumizi nimeweka sehemu kabatini, akifungua atakutana navyo!!

Nasubiri nione response yake nione!!


Nawashukuruni sana kwa ushauri wenu na mawazo yenu makubwa ya kujenga!!

Mremaa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom