Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,375
- 77,222
Kumpiga mwanamke siyo sawa.Nimepokea mkuu!! Mwanamke akiwa na hasira maamuzi yoyote ni sawa kwake!! Maana hata sasa hajaingia chumbani, na simu kazima tangu hiyo asubuhi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila anachokifanya yeye ni siyo sawa zaidi. Kwa makusudi ameamua kua unavailable. Naassume bado ana umri mdogo.
Wanaume wote tunakerwa na kelele zisizoisha so napata picha ulivyokereka. Mdau mmoja hapo juu anasema umchunguze binti ujue nini kinampa kiburi mi nasema hauna haja, aliyokujibu mkeo ndiyo na wengine tunajibiwa hivyo hivyo.
Muite muongee kilichotokea. Ni vyema zaidi ukatanguliza maneno kama 'Nataka tufikie suluhu kwa Kilichotokea asubuhi, unahisi ni sahihi?' hii ni ili hata kama anataka kuanzisha mada nyingine isiyohusiana umuonyeshe mpaka wa mada yenu.
So haitakua kuomba msamaha itakua ni kuzungumza na kufikia muafaka. Muite fasta pia ukichelewa na mawazo mengine maovu yataanza kukujaa.