Halafu mkuu sijui umetumia kipimo gani katika kuangalia weledi wa Dr wenu, maana kama hizo sifa unazompa ni za ukweli basi jimbo lake la karatu alililiongoza mpaka akaacha mwenyewe lingekua linaongoza kwa maendeleo Tanzania, na Afrika kwa ujumla, lakini , rekodi yake kwa kipimo cha jimbo bado ni dhaifu sana, na ni mtu wa kawaida sana, mnamkuza bure tu, na kumpa sifa asizostahili, na mambo kama haya yanamadhara makubwa sana..Kuna mtu alileta thread humu kumlinganisha Dr.Slaa Vs Lowassa
Linapokuja suala la uchapa kazi ,uaminifu na uadilifu katika uongozi na matumizi bora ya raslimali zetu huwezi kutoa chaguo kati ya Shetani na Malaika
Mpambanishe Dr.Slaa na mtu sahihi kwa mahitaji ya wakati.
Uchapa kazi na uadilifu ni lazima viende sambamba ili taifa lipone
Sababu alizotoa Mwl.Nyerere za kuwakataa wagombea bado zipo na zinaendelea.Baadhi yao walipopewa madaraka makubwa baada ya kifo cha Mwalimu Nyerere kila mmoja alishuhudia Alichokua amekataza.
Sababu alizotumia kuwakataa bado zipo.Hawajawahi na hawana ujasiri wa kujibu walikopata mali.Kiongozi asiyeweza kuelezea alikopata mali zake nu hatari sana katika kipindi hiki ambacho Taifa linakaribia kuvunjwa kwa utovu wa maadili na Rushwa.
Ufisadi hauwezi kuwa alama ya kujivunia ya Taifa letu.Watanzania walipomuona Nyerere kwenye majukwaa ya kimataifa waliona fahari,ilikua ni alama yao.Watanzania walijiona kupitia Mwalimu Nyerere
Hatuwezi kujivunia kuwa ba symbol ya Ibilisi katika medani za kimataifa.Rushwa haiwezi kuwa alama yetu ya fahari.There is no pride !
Kuna mambo mawili ninayaona hapa:
Wewe ni shabiki mkubwa wa EL, unataka kupima kina cha maji uone kama atumbukie au aache.
Pili, nashindwa kuelewa, ina maana kuwa ccm hakuna tena uhai asipokuwapo EL?
Huu ni ushamba mkubwa. EL hajaanzisha ccm. Walioiasisi wamepita na kuwaachia kijiti wengine na nchi haijayumba. We ni nani useme nchi ati itayumba kwa EL kutochaguliwa mpeperusha bendera ya ccm? Nani kakuambia kuwa 2015 ccm inarudi madarakani? CCM imeshakufa usihofu kusambaratika.
Ushauri, chagua chama kingine mapema kama unataka kushabikia siasa. Nenda na wakati kwa kuyajua majira. CCM itaonja upinzani 2015. Hata angechaguliwa nani hawezi tena kuihuisha ccm
Kuna mambo mawili ninayaona hapa:
Wewe ni shabiki mkubwa wa EL, unataka kupima kina cha maji uone kama atumbukie au aache.
Pili, nashindwa kuelewa, ina maana kuwa ccm hakuna tena uhai asipokuwapo EL?
Huu ni ushamba mkubwa. EL hajaanzisha ccm. Walioiasisi wamepita na kuwaachia kijiti wengine na nchi haijayumba. We ni nani useme nchi ati itayumba kwa EL kutochaguliwa mpeperusha bendera ya ccm? Nani kakuambia kuwa 2015 ccm inarudi madarakani? CCM imeshakufa usihofu kusambaratika.
Ushauri, chagua chama kingine mapema kama unataka kushabikia siasa. Nenda na wakati kwa kuyajua majira. CCM itaonja upinzani 2015. Hata angechaguliwa nani hawezi tena kuihuisha ccm
Kuna mtu alileta thread humu kumlinganisha Dr.Slaa Vs Lowassa
Linapokuja suala la uchapa kazi ,uaminifu na uadilifu katika uongozi na matumizi bora ya raslimali zetu huwezi kutoa chaguo kati ya Shetani na Malaika
Mpambanishe Dr.Slaa na mtu sahihi kwa mahitaji ya wakati.
Uchapa kazi na uadilifu ni lazima viende sambamba ili taifa lipone
Sababu alizotoa Mwl.Nyerere za kuwakataa wagombea bado zipo na zinaendelea.Baadhi yao walipopewa madaraka makubwa baada ya kifo cha Mwalimu Nyerere kila mmoja alishuhudia Alichokua amekataza.
Sababu alizotumia kuwakataa bado zipo.Hawajawahi na hawana ujasiri wa kujibu walikopata mali.Kiongozi asiyeweza kuelezea alikopata mali zake nu hatari sana katika kipindi hiki ambacho Taifa linakaribia kuvunjwa kwa utovu wa maadili na Rushwa.
Ufisadi hauwezi kuwa alama ya kujivunia ya Taifa letu.Watanzania walipomuona Nyerere kwenye majukwaa ya kimataifa waliona fahari,ilikua ni alama yao.Watanzania walijiona kupitia Mwalimu Nyerere
Hatuwezi kujivunia kuwa ba symbol ya Ibilisi katika medani za kimataifa.Rushwa haiwezi kuwa alama yetu ya fahari.There is no pride !
Halafu mkuu sijui umetumia kipimo gani katika kuangalia weledi wa Dr wenu, maana kama hizo sifa unazompa ni za ukweli basi jimbo lake la karatu alililiongoza mpaka akaacha mwenyewe lingekua linaongoza kwa maendeleo Tanzania, na Afrika kwa ujumla, lakini , rekodi yake kwa kipimo cha jimbo bado ni dhaifu sana, na ni mtu wa kawaida sana, namkuza bure tu, na kumpa sifa asizostahili, na mambo kama haya yanamadhara makubwa sana..
Kama hiyo iko hivyo vipi kuhusu majumba ya wabunge wenu wanayooyajenga , mbona hayo hayasubirii serikali iliyopo madarakani ili yajengwe, mnatafuta mbinu na sababu za bei rahisi kujitoa katika majukumu yenu ya kuwapa wananchi wa majimbo yenu maendeleo, kifupi mmefeli na uongo wenu upo wazi..Be informed, huna hoja madhubuti hapa..vinginevo sema kama wewe umekuja kupima upepo, poor mind!, unajua serikali ndio inahusika na umaskini wa kila mahali tanzania bila kujali hili aulile ni bunge la nani?...Nani alikwambia majimbo ya wapinzani wabunge ndio wanaleta maendeleo? wapinzani wanaserikali?...hufaham kwamba chama kilichoko madarakani ndicho chenye serikari na serikali hiyo ndio yenye jukumu la kuleta maendeleo kupitia ilani ya chama chake? akili finy ni hasara kwa mtumiaji na anao kaa nao, you are useless
JIna lako tu linaonyesha akili yako ikojewanajamvi tujadili hili suala,kwa mwndo anaokwenda nao lowassa ni waz hakuna mwanachama yeyete ndn ya ccm anaeweza kufuata alipo pita,amewaacha mbali sna wapinzan wake,sasa kuna tetes kuwa jina lake litakatwa mapema ili kuhakikisha hagombei nafas ya urais kwa tiketi ya ccm,sasa embu tujadili endapo ccm iitamkta jina lake nn kitatokea?????je ndo mwisho wa ccm au mzee wa mammvi atakubali yaishe????naomba ttujadili hili kwa mustakabli wa nchi yetu,ushabiki usio kuwa na maana tuuweke pemben
Kama hiyo iko hivyo vipi kuhusu majumba ya wabunge wenu wanayooyajenga , mbona hayo hayasubirii serikali iliyopo madarakani ili yajengwe, mnatafuta mbinu na sababu za bei rahisi kujitoa katika majukumu yenu ya kuwapa wananchi wa majimbo yenu maendeleo, kifupi mmefeli na uongo wenu upo wazi..
Kuna mtu alileta thread humu kumlinganisha Dr.Slaa Vs Lowassa
Linapokuja suala la uchapa kazi ,uaminifu na uadilifu katika uongozi na matumizi bora ya raslimali zetu huwezi kutoa chaguo kati ya Shetani na Malaika
Mpambanishe Dr.Slaa na mtu sahihi kwa mahitaji ya wakati.
Uchapa kazi na uadilifu ni lazima viende sambamba ili taifa lipone
Sababu alizotoa Mwl.Nyerere za kuwakataa wagombea bado zipo na zinaendelea.Baadhi yao walipopewa madaraka makubwa baada ya kifo cha Mwalimu Nyerere kila mmoja alishuhudia Alichokua amekataza.
Sababu alizotumia kuwakataa bado zipo.Hawajawahi na hawana ujasiri wa kujibu walikopata mali.Kiongozi asiyeweza kuelezea alikopata mali zake nu hatari sana katika kipindi hiki ambacho Taifa linakaribia kuvunjwa kwa utovu wa maadili na Rushwa.
Ufisadi hauwezi kuwa alama ya kujivunia ya Taifa letu.Watanzania walipomuona Nyerere kwenye majukwaa ya kimataifa waliona fahari,ilikua ni alama yao.Watanzania walijiona kupitia Mwalimu Nyerere
Hatuwezi kujivunia kuwa ba symbol ya Ibilisi katika medani za kimataifa.Rushwa haiwezi kuwa alama yetu ya fahari.There is no pride !
Hya ndo madhara ya jana ume zima kukeketwa!!!Lowassa ndiye rais wa tano wa hii njiii hii,mlaumu baba yake ambilikile mwasapile kwa kutokusomaKuna mtu alileta thread humu kumlinganisha Dr.Slaa Vs Lowassa
Linapokuja suala la uchapa kazi ,uaminifu na uadilifu katika uongozi na matumizi bora ya raslimali zetu huwezi kutoa chaguo kati ya Shetani na Malaika
Mpambanishe Dr.Slaa na mtu sahihi kwa mahitaji ya wakati.
Uchapa kazi na uadilifu ni lazima viende sambamba ili taifa lipone
Sababu alizotoa Mwl.Nyerere za kuwakataa wagombea bado zipo na zinaendelea.Baadhi yao walipopewa madaraka makubwa baada ya kifo cha Mwalimu Nyerere kila mmoja alishuhudia Alichokua amekataza.
Sababu alizotumia kuwakataa bado zipo.Hawajawahi na hawana ujasiri wa kujibu walikopata mali.Kiongozi asiyeweza kuelezea alikopata mali zake nu hatari sana katika kipindi hiki ambacho Taifa linakaribia kuvunjwa kwa utovu wa maadili na Rushwa.
Ufisadi hauwezi kuwa alama ya kujivunia ya Taifa letu.Watanzania walipomuona Nyerere kwenye majukwaa ya kimataifa waliona fahari,ilikua ni alama yao.Watanzania walijiona kupitia Mwalimu Nyerere
Hatuwezi kujivunia kuwa ba symbol ya Ibilisi katika medani za kimataifa.Rushwa haiwezi kuwa alama yetu ya fahari.There is no pride !
hizo chuki zako kwa lowassa mwisho wa ciku nilikuambia utaabika mchana kweupee,tatzo unatumika vibaya ila hushastukia,nina waswas mama yako alikudanganya kuw ww ni mtoto wa lowassa ukamfuata lowassa akakutosa,mrudie tena kaa naye vizur atakuambia baba yako mzazi