julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
mi kuraaaaaaa yngu ni kwa mzeee wa mamviiii mchana,slaa nngempa lakin tatzo amepoooza mkono,na stroke naona ilimgonga,angalia akiwa anashika mic,na angalia mdomo akiwa anaongea mdomo umepinda,lowasa rais ajaye
Akili yenu mnafikiri raisi ni kuchagua mme / mke kumbe ni kiongozi sijui akili yenu iko sehemu gani ya mwili hivi hamkukoma tu na handsome wenu au bado mnajichanganya?