Kuhusu neno Utopolo ni neno la Lugha ya Kihehe na mhehe mmoja mtani wangu huyu aliniambia hilo neno lina maana ya kitu cha hovyo, takataka, bure kabisa, kisicho na maana, hakina nyuma wala mbele, kitu kinachotia kinyaa hata kuangalia. Kama ni mtu maana yake hawezi chochote, legelege, mvivu, hana faida.Mimi nimeuliza tu kutaka kufahamu maana ni moja ya maneno yanatrend sana kwa sasa, MATAGA na Utopolo