Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,226
- 4,730
Sasa hilo neno jingine baada ya MATAGA limeingiaje hapa?....watu wengine bwana!Mimi nimeuliza tu kutaka kufahamu maana ni moja ya maneno yanatrend sana kwa sasa, MATAGA na Utopolo
Sasa hilo neno jingine baada ya MATAGA limeingiaje hapa?....watu wengine bwana!Mimi nimeuliza tu kutaka kufahamu maana ni moja ya maneno yanatrend sana kwa sasa, MATAGA na Utopolo
Make Tanzania Great Again, japo sijui waliotoa kauli hii walianzia wapi na walilenga nini
Looks like it is a derogatory term when you see kigogo using it.MA = Make
TA = Tanzania
G = Great
A = Again.
Make Tanzania Great Again.
Kikundi cha kumtetea dikteta uchwaraWaungwana.
Kuuliza si ujinga. Kuna neno linatumika sana siku hizi, nimeangalia kwenye kamusi sijalikuta, inaonekana Kama ni kifupi cha maneno fulani maana huandikwa kwa uppercase.
Maana ya MATAGA au kirefu chake ni nini?
Make Chadema Great Again ( MACHAGA)Make Tanzania Great Again (MATAGA)
Make America Great Again (MAGA)
Make .... Fool Again
Liliwahi kuwa great kwenye utopoloGreat again?
Lini iliwahi kuwa great?
Ilizaliwa Kijijini sio VijijiniThis means "MAKE TANZANIA GREAT AGAIN" kwanza naomba ni declare interest kuwa mm ni Mtanzania nliezaliwa ukoo Vijijni mwishoni mwa miaka ya 80, yaan "late 1980s. Natamani kuwauliza mlioko kuwepo.
Tunaposema "Make Tanzania Great Again" tunamaanisha ukweli kwamba labda Tanzania ilishawahii kuwa "GREAT" uko nyuma? Na kama ni kweli iliwahii kuwa ilikuwa Lini? Na nchi ilikuwaje?
Naomba Kuwasilisha.