Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,899
- 19,859
Wale wa Ufipa wanataka kutuburuzwa tuwe MATAPA -- Make Tanzania Poor Again. Hii ni ^know-mar^ na robo ^tar-two!!!^
Tanzania haijawahi kuwa great. Labda kwa kifashist wa KAMBARAGE.Trump alianzisha Make America Great Again - MAGA
Wao lummumba buku 7 wasivyo na akili za kufikiria wakaanzisha Make Tanzania Great Again- MATAGA
Sasa swali ni lini Tanzania ilikuwa Great
This means "MAKE TANZANIA GREAT AGAIN" kwanza naomba ni declare interest kuwa mm ni Mtanzania nliezaliwa ukoo Vijijni mwishoni mwa miaka ya 80, yaan "late 1980s. Natamani kuwauliza mlioko kuwepo.
Tunaposema "Make Tanzania Great Again" tunamaanisha ukweli kwamba labda Tanzania ilishawahii kuwa "GREAT" uko nyuma? Na kama ni kweli iliwahii kuwa ilikuwa Lini? Na nchi ilikuwaje?
Naomba Kuwasilisha.
Yah Tz iliwahi kuwa na uchumi mkubwa kulinganisha na nchi zingine hapa EA na sarafu yenye thamani zaidi hapa EA.Kwani iliwahi kua Great huko nyuma au ni Copy & pest kutoka kwa Trump
Au mbwa asie na makazi,yani mbwa koko
Hao ni mataga waliokolea kupakwa piko,yani bi harusi
Unajua maana ya wachumia tumbo ?Karibuni
Enzi za Nyerere, Eliku bureee,sfya bureee,hatua kubwa ilifikiwa kwa kipindi kifupi,Waulize wakongwe thamani ya Shilingi Dhidi ya Dollar ilikuwaje kabls ma ya 1985!Trump alianzisha Make America Great Again - MAGA
Wao lummumba buku 7 wasivyo na akili za kufikiria wakaanzisha Make Tanzania Great Again- MATAGA
Sasa swali ni lini Tanzania ilikuwa Great
mwaka 1967 mpaka mwaka 1978This means "MAKE TANZANIA GREAT AGAIN" kwanza naomba ni declare interest kuwa mm ni Mtanzania nliezaliwa ukoo Vijijni mwishoni mwa miaka ya 80, yaan "late 1980s. Natamani kuwauliza mlioko kuwepo.
Tunaposema "Make Tanzania Great Again" tunamaanisha ukweli kwamba labda Tanzania ilishawahii kuwa "GREAT" uko nyuma? Na kama ni kweli iliwahii kuwa ilikuwa Lini? Na nchi ilikuwaje?
Naomba Kuwasilisha.
Buku 7 ni posho itolewayo na ccm ambayo wanapewa kwa siku wapiga domo wa lumumba humu JFNa hapo kwenye "buku 7" nimeanza kusikia juz juz, hii ilianzaje had ikawa synonym ya Lumumba kaka?
Balaa tupuWhen Tanzania became great? Compared for which country au ni kucopy ya maneno ya wakina Trump
kifupi MATAGA tuliiga MAGA (MAKE AMERICA GREAT AGAIN) ya Donald TrumpThis means "MAKE TANZANIA GREAT AGAIN" kwanza naomba ni declare interest kuwa mm ni Mtanzania nliezaliwa ukoo Vijijni mwishoni mwa miaka ya 80, yaan "late 1980s. Natamani kuwauliza mlioko kuwepo.
Tunaposema "Make Tanzania Great Again" tunamaanisha ukweli kwamba labda Tanzania ilishawahii kuwa "GREAT" uko nyuma? Na kama ni kweli iliwahii kuwa ilikuwa Lini? Na nchi ilikuwaje?
Naomba Kuwasilisha.
Yan Lumumba wa JF ndo wanalipwa buku 7, dah nimecheka sanaBuku 7 ni posho itolewayo na ccm ambayo wanapewa kwa siku wapiga domo wa lumumba humu JF