Habari wanajamvi.
Kuna hawa watu wanajiita MATAGA (Make Tanzania Great Again). Kwa uelewa wangu naona kuwa wanakosea sana. Nadhani hii ni copy and paste ya kauli mbiu ya Trump (Make America Great Again). Marekani ni sawa kabisa kwani imepitia vipindi mbalimbali vya ukuu katika nyanja mbalimbali. Unaposema unaifanya Tanzania great again, je, ni lini ilikuwa great?
Napendekeza hao watu wajiite MATAG (Make Tanzania Great) hiyo again waiache kwani walipo copy and paste hawakuangalia muktadha wa Tanzania. Jina halisadifu uhalisia
Wasaalam,
Ndimi,
Dadeq
Kuna hawa watu wanajiita MATAGA (Make Tanzania Great Again). Kwa uelewa wangu naona kuwa wanakosea sana. Nadhani hii ni copy and paste ya kauli mbiu ya Trump (Make America Great Again). Marekani ni sawa kabisa kwani imepitia vipindi mbalimbali vya ukuu katika nyanja mbalimbali. Unaposema unaifanya Tanzania great again, je, ni lini ilikuwa great?
Napendekeza hao watu wajiite MATAG (Make Tanzania Great) hiyo again waiache kwani walipo copy and paste hawakuangalia muktadha wa Tanzania. Jina halisadifu uhalisia
Wasaalam,
Ndimi,
Dadeq