Nini Hakijatimia Hapa???

Nini Hakijatimia Hapa???

Halafu bila hata aibu raisi anatengewa bil.50 kwa safari zisizokuwa na tija!
 
10462556_801251419893525_8053480966261371994_n.jpg
 












































Wakuu Rock na Safari_ni_Safari haya ndio mafanikio ya Big Results Now, maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana, tumethubutu, tumeweza na sasa tunasonga mbele, ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya. Hivi ndivyo MACCM wanajenga vipaji vya Taifa la kesho huku wenyewe wakiendelea na ufisadi wa zaidi ya shilingi Trillioni moja kwa mwaka na nyingi walizokwishakwapua wakiwa wamezificha nchi za nje.
 
Last edited by a moderator:
TECHMAN hapo kwa maelezo ya BRN shule imekamilika ni wewe tuu hujaiona akiingia mwalimu ambaye hajalipwa mshahara wake wa miezi miwili iliyopita na ambaye anakaa chumba kimoja cha kupanga na mke na watoto wake wawili wakubwa na ambaye ametoka kugombana na mwenye nyumba kisa hajalipa kodi na dukani kwa mangi anadaiwa mpaka amebadilisha njia ya kupita ndo utapata matokeo makubwa sasa ambapo 1+1 =11 BAK uko wapi hapa

Mr Rocky, nimesema ambacho hakijakamilika ni shule, yes ni kweli, shule ili iitwe shule ina viwango vyake ndo maana kunawakaguzi wa wizara na wakaguzi wa elimu kutoka katika manispaa au miji. mtu binafsi anapotaka kujenga shule lazima eneo likaguliwe kama linafaa kwa shule, muhusika anapewa vipimo maalum vya standard za vyumba na saizi ya madirisha, idadi ya vvyoo kuendana na jinsia na idadi ya wanafunzi pamoja na mambo mengi yahusiyo mambo ya afya na usalama wa mtoto, shule ikokosa viwango hivyo inapewa muda wa kuvirekebisha na ikishindwa inafungiwa, zaidi ya asilimia hamsini ya shule za serikali tanzania hazijafikia kiwango cha kuitwa shule, hiyo iliyo onyeshwa kwenye picha na mdau labda tuiite kambi ya mafunzo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom