Safari_ni_Safari ni mwalimu tuu amekosekana hapa darasa likamilike maana hao hawahitaji vitabu wala umeme wala computer maana hivyo kwao ni vitu vya mzungu
mkuu hapa umeniongezea hasira ujue daaa,then baadae wanapanda kwenye majukwaa na kuzuia utumikishwaji wa watoto,poa tu lakini
TECHMAN hapo kwa maelezo ya BRN shule imekamilika ni wewe tuu hujaiona akiingia mwalimu ambaye hajalipwa mshahara wake wa miezi miwili iliyopita na ambaye anakaa chumba kimoja cha kupanga na mke na watoto wake wawili wakubwa na ambaye ametoka kugombana na mwenye nyumba kisa hajalipa kodi na dukani kwa mangi anadaiwa mpaka amebadilisha njia ya kupita ndo utapata matokeo makubwa sasa ambapo 1+1 =11 BAK uko wapi hapa
[/QU![]()
OTE]
Huyu atakuwa 'tozi' baadae, mbona yuko soap soap tofauti na wenzie!