Nini chanzo cha mwanaume ku cheat?

Nini chanzo cha mwanaume ku cheat?

Tena hapo kibao una geuziwa wewe
jamani kwanza angalieni idadi ya wanawake na wanaume,ukipata jibu rudi kwenye swali kwanini wanaume wana`cheat,jibu litakuja kwanza wanawake ni wengi kuliko wanaume,pili tukiwa waaminifu kila mmoja kwa mwenzi wake hao wanawake watakaobakia watahudumiwa na nani?tatu maumbile ya mwanaume kiasili akishawaza yale mambo hata kwa kuangalia picha tu,network lazima ipande,na ikipanda wakati mke ashakuudhi hela mmepanga mkanunue bati yeye anasema mkanunue keki kubwa ya birthday,hamu inapotea na hasira juu unaamua utoke ukapate mvinyo kidogo,kwenye mvinyo nako kila mhudumu ana chura wa haja,tena bibie hana noma,unamuachaje kwa mfano?
ku`cheat hatuwezi kuacha,akina dada kunyweni tu sumu kwa kweli...
 
  • Thanks
Reactions: irk
Ni kweli maana mchepuko na wao umetongozwa ila m nasema unajua kabs that is my husbnd so kwnn uwe naye karib sana that way?
huyo husband moto wa jehanam unamhusu
Hlafu yakishazeeka ndio yanajifanya kurudi kwa wake zao kurudisa majesh upya
Wakudeal naye ni mumeo, he is your business. Tena wanaume wengine anadanganya kabisa kuwa hajaoa
 
mawasiliano nyumbani yakianza kuwa mabovu, nyumba chafu, nyumba imejaa ndugu wa mke wa kwake hutaki waje. Kuna mtu aliniambia ukiwa kwenye ndoa usikubali kulala na ugomvi, ongeeni mpate suluhu, na mwisho malizieni kwa tendo.
Mimi ilifikaga wakati najitilisha huruma mpaka napewa mzigo af naperform vzr sana baadae naambiwa nisirudie at nasamehewa
 

Jamani hata wanaume pia huwa yanatukuta haya mnayo yalalamikia. Hii sio kasumba ya jinsia moja tu.
 
jamani kwanza angalieni idadi ya wanawake na wanaume,ukipata jibu rudi kwenye swali kwanini wanaume wana`cheat,jibu litakuja kwanza wanawake ni wengi kuliko wanaume,pili tukiwa waaminifu kila mmoja kwa mwenzi wake hao wanawake watakaobakia watahudumiwa na nani?tatu maumbile ya mwanaume kiasili akishawaza yale mambo hata kwa kuangalia picha tu,network lazima ipande,na ikipanda wakati mke ashakuudhi hela mmepanga mkanunue bati yeye anasema mkanunue keki kubwa ya birthday,hamu inapotea na hasira juu unaamua utoke ukapate mvinyo kidogo,kwenye mvinyo nako kila mhudumu ana chura wa haja,tena bibie hana noma,unamuachaje kwa mfano?
ku`cheat hatuwezi kuacha,akina dada kunyweni tu sumu kwa kweli...
Namuonea hurum mkeo
 
Nyie mmezdi na ndio source
The same way hata sisi hatuwaamini wanawake kabisa especially mke, girlfriend. Huwa tuna ambiana ishi na mwanamke kwa akili kwa sababu anaweza kukushangaza ukafa kabla ya siku zako hasa kwenye ishu ya uaminifu.
So the feeling is mutual dada
 
Poleni na majukumu wana Mmu,
Naombeni kujuzwa zaidi, mwanaume anapofanya maamuzi ya kuvunja uaminifu kwa mwenza wake ni kweli huyo mwanamke anakua/lazima na mapungufu au anafanya tu ili mradi kafanya?
Na ni mbinu gani za kufanya /ku handle hii hali endapo umegundua mwenza/mume/mzaz mwenzio(serious rtnshp) ana cheat.
Ushauri tafadhali
Mwanamke kusahau majukumu yake
 
The same way hata sisi hatuwaamini wanawake kabisa especially mke, girlfriend. Huwa tuna ambiana ishi na mwanamke kwa akili kwa sababu anaweza kukushangaza ukafa kabla ya siku zako hasa kwenye ishu ya uaminifu.
So the feeling is mutual dada
Wanawake n wachache san na asilimia kubwa anakua forced
 
mawasiliano nyumbani yakianza kuwa mabovu, nyumba chafu, nyumba imejaa ndugu wa mke wa kwake hutaki waje. Kuna mtu aliniambia ukiwa kwenye ndoa usikubali kulala na ugomvi, ongeeni mpate suluhu, na mwisho malizieni kwa tendo.
Ujue wanaume wengine wanatafutaga tu excuse za kucheat. Sio rahisi kumpata mke/mume aliyekamilika 100%, vitu vingi tunacompromise. Na kwenye ndoa kubebeana madhaifu ni lazima (ila usihatarishe tu maisha yako). Na kama ni udhaifu umeonekana mapema kabla ya ndoa, basi jiulize Kwa kina "huu udhaifu ntaweza kuishi nao", toa mawazo ya kuwa "aah atabadilika tu"

Ikifika kwenye ndoa na unakuta2 mwenzako ana udhaifu fulani, ongea naye time to time, ikishindikana kabisa basi ubebe tu ule udhaifu wake. Mtu anakwambia mke wangu haniwekei maji ya kuoga asubuhi, so nimeamua kuchepuka khaaa. Huko kwa mchepuko unaenda kutafuta mtu wa kukuwekea maji bafuni au una yako? Kuwekewa maji bafuni ndo unazaa na watoto kabisa jamaniiiiii? Umeona mkeo habadiliki na hilo, kwa nini usijiwekee maji wewe mwenyewe kwa style unayoitaka kuepusha mafarakano? Hatujui kuappreciate wanayotutendea wenzi wetu, tunaconcentrate na pungufu moja tu. Kama kuwekewa maji ni muhimu kuliko yote anayokufanyia mkeo basi muache, hamia huko unapowekewa maji shaa
 
Ujue wanaume wengine wanatafutaga tu excuse za kucheat. Sio rahisi kumpata mke/mume aliyekamilika 100%, vitu vingi tunacompromise. Na kwenye ndoa kubebeana madhaifu ni lazima (ila usihatarishe tu maisha yako). Na kama ni udhaifu umeonekana mapema kabla ya ndoa, basi jiulize Kwa kina "huu udhaifu ntaweza kuishi nao", toa mawazo ya kuwa "aah atabadilika tu"

Ikifika kwenye ndoa na unakuta2 mwenzako ana udhaifu fulani, ongea naye time to time, ikishindikana kabisa basi ubebe tu ule udhaifu wake. Mtu anakwambia mke wangu haniwekei maji ya kuoga asubuhi, so nimeamua kuchepuka khaaa. Huko kwa mchepuko unaenda kutafuta mtu wa kukuwekea maji bafuni au una yako? Kuwekewa maji bafuni ndo unazaa na watoto kabisa jamaniiiiii? Umeona mkeo habadiliki na hilo, kwa nini usijiwekee maji wewe mwenyewe kwa style unayoitaka kuepusha mafarakano? Hatujui kuappreciate wanayotutendea wenzi wetu, tunaconcentrate na pungufu moja tu. Kama kuwekewa maji ni muhimu kuliko yote anayokufanyia mkeo basi muache, hamia huko unapowekewa maji shaa
That is it sis. Some of us are born too polite.
 
Wanawake n wachache san na asilimia kubwa anakua forced
May be japo naona hapa tulipofika sasa zile pingu za mpenzi mmoja zimelegea sana kwa jamii zote duniani. Hata ndani ndoa watu hawajitoi sadaka kama zamani kiasi cha kuvumilia yote ya shida na raha. Mtu akizingua au zinguliwa tu anajitoa.

Chaguo bora Kwa mume au mke ni mtu ambaye atakua mtu wa imani na mcha mungu katika moyo na kweli. Huyo hataweza cheat kwa sababu imani ina mkataza na hataki kuikosa pepo ila kama ni partner wa kawaida tu kidunia basi akicheat usishangae sana kwa sababu hana hofu ya mungu ndani yake.
 
KUKOSEKANA KWA UTULIVU
Mke akiwa na gubu saa zote maneno maneno likiisha hili linafuata jingine, mwanaume anatafuta nyumba ndogo kupata utulivu.

HISTORIA YA MUME
Ikitokea alikuwa na mwanamke wake zamani kabla ya ndoa anaweza kukumbushia mapenzi yao ikiwa love story yao haikufika mwisho au ndo wa kwanza alimtoa usichana wake.

KUKINAI
ni moja ya kazi ya ubongo medula oblongata kukinai kitu ambacho unakiona na kukitumia mara kwa mara hasa kukiwa hakuna ubunifu wa mara kwa mara

KURIDHIKA
mke anaporidhika katika tendo la ndoa pamoja na mahitaji yake muhimu anaouweza wa kumvumilia mumewe kwa miaka mingi hata mpk uzeeni, lakini kwa mwanaume baada ya muda anamuona mkewe kama rafiki tu au mtu wa kawaida hisia zinapotea kabisa saa nyingine wiki mpk wiki au mwezi mpk mwezi (kuepuka kucheat dini nyingine zimeruhusu kuongeza kuoa mke mwingine)

MVUTO.
Kila mwanamke ana mvuto wake wengine sura, miguu, kiuno, umbo nk, tamaa ya mwanaume ni kupata ladha tofauti akijua mkewe ndani hajajaaliwa kila kitu kuna vitu hana.

KIPINDI CHA TAREHE/ UJAUZITO
Mume anapozoea kupata mara kwa mara wakati mwingine siku inaangukia tarehe za mke uvumilivu unaweza kumshinda kusubiri siku 4/5 ni nyingi akiwa yupo peak anahitaji..pia kipindi cha ujauzito ni miezi mingi kutokana na ushauri wa daktari mpk baada ya kujifungua, pia mume hajiskii huru kufanya na mke wake mjamzito kwa kuogopa kumuumiza mtoto au kuharibu kizazi..muda ni mrefu mume anacheat kufidia
 
mawasiliano nyumbani yakianza kuwa mabovu, nyumba chafu, nyumba imejaa ndugu wa mke wa kwake hutaki waje. Kuna mtu aliniambia ukiwa kwenye ndoa usikubali kulala na ugomvi, ongeeni mpate suluhu, na mwisho malizieni kwa tendo.

MKUU

SIJAELEWA HICHO KIPENGELE CHA TENDO.

UFAFANUZI TAFADHALI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom