Nini chanzo cha mwanaume ku cheat?

Nini chanzo cha mwanaume ku cheat?

Hope you will understand
Poleni na majukumu wana Mmu,
Naombeni kujuzwa zaidi, mwanaume anapofanya maamuzi ya kuvunja uaminifu kwa mwenza wake ni kweli huyo mwanamke anakua/lazima na mapungufu au anafanya tu ili mradi kafanya?
Na ni mbinu gani za kufanya /ku handle hii hali endapo umegundua mwenza/mume/mzaz mwenzio(serious rtnshp) ana cheat.
Ushauri tafadhali
 

Attachments

Macho yawaona wengi,mikono inagusa wengi,
Fikra zinaathiriwa nakuona nakugusa.

Tabia ya moyo inashindwa kupambana na matamanio.

Then cheating.

Kwahiyo, hizi tabia zinakuwa induced na mikono,macho pamoja najamii zetu zakidigital/mapaja wazi,na iliku win the game inategemea spiritual strength ya mtu binafsi.
 
That's so selfish. Nitafanya ujinga wote lakini sio kumuambukiza mke wangu ukimwi.

Namuheshimu sana mke wangu kwa maamuzi ya kunizalia watoto wenye afya njema na kuwa mstari wa mbele kwenye malezi yao and for that I will be forever grateful.
Hehe na wakishaungua huko, anaanza dozi kimya kimya, utajijua mwenyewe
 
Poleni na majukumu wana Mmu,
Naombeni kujuzwa zaidi, mwanaume anapofanya maamuzi ya kuvunja uaminifu kwa mwenza wake ni kweli huyo mwanamke anakua/lazima na mapungufu au anafanya tu ili mradi kafanya?
Na ni mbinu gani za kufanya /ku handle hii hali endapo umegundua mwenza/mume/mzaz mwenzio(serious rtnshp) ana cheat.
Ushauri tafadhali


Ukweli ni kwamba huwezi kumzua binadam yeyote kutocheat....mpenzi wako akikucheat lazima atakuwa na sababu yake na akibahatika kupata hogo la maana huko nje ama mwanamke ajuaye kucheza kitandani, basi juwa umekwisha. Kwa mwanaume kucheat mara nyingi inatokana na mwanamke kutokuwa mbunifu kitandani haswa hivi videmu feki vya dotcom. Unaenda shughulini usiku na mumeo ndani ya 6 X 6 kisha unafikia kulala tu huku ukihesabu TNG?
 
pole sana ..kwanza tambua kama mwanamke yakupasa usimamie maombi ya kuombea nyumba yako kwa maana shetan apenda kujiinua.tafuta sana upendo kila siku na kama kuna tofauti tafuta suluhisho la msamaha kabla ya kulala ili usiku upate haki yako kunako utamu

wanaume wengi wana tabia ya kucheat na sababu za kucheat zipo nying tu kuendana na mtazamo wa mtu mwingine ni tabia yake in nature,mwingine ubazazi,mara mwingine atakuambia urijali,ukichunguza sana atakuambia mwanaume uliyekamilika laima uwe na njia mchepuko huwez kula nyama moja kila siku,,sometimes marafiki na wengine ndo ile kutaman kufunua sketi tuu baaada ya kuona umbile fulani.kwa hiyo wewe ukianza kutafuta sababu utaishia njian hakikisha tuu unatenda ya haki yako tena kwa kiwango cha juu na maombi MUNGU atambadilisha tuu
 
pole sana ..kwanza tambua kama mwanamke yakupasa usimamie maombi ya kuombea nyumba yako kwa maana shetan apenda kujiinua.tafuta sana upendo kila siku na kama kuna tofauti tafuta suluhisho la msamaha kabla ya kulala ili usiku upate haki yako kunako utamu

wanaume wengi wana tabia ya kucheat na sababu za kucheat zipo nying tu kuendana na mtazamo wa mtu mwingine ni tabia yake in nature,mwingine ubazazi,mara mwingine atakuambia urijali,ukichunguza sana atakuambia mwanaume uliyekamilika laima uwe na njia mchepuko huwez kula nyama moja kila siku,,sometimes marafiki na wengine ndo ile kutaman kufunua sketi tuu baaada ya kuona umbile fulani.kwa hiyo wewe ukianza kutafuta sababu utaishia njian hakikisha tuu unatenda ya haki yako tena kwa kiwango cha juu na maombi MUNGU atambadilisha tuu
Na kweli
 
Hiyo ni hulka ya wanaume wameumbwa hivyo hata
iweje hata uwe unampa kila siku atatoka tu, hata ulale umembeba usiku kucha haisaidii.

Umeongea hali halisi.
Na kama mumeo hapigi mechi za nje jiulize mara mbili.
 
Hata hayo madushe hayafanani bhana kuna muhogo, kuna tango, kuna ndizi, kuna bilinganya na bamia pia, huoni hapo kuna ladha tofauti tofauti?
Nanukuu mademu wa kitaani kwangu : wanasema mwanamke anatosheka na ladha moja ila sio mwanaume..
 
That's so selfish. Nitafanya ujinga wote lakini sio kumuambukiza mke wangu ukimwi.

Namuheshimu sana mke wangu kwa maamuzi ya kunizalia watoto wenye afya njema na kuwa mstari wa mbele kwenye malezi yao and for that I will be forever grateful.
Mmh kuna watu selfish acha tu
 
Baada ya kujifungua ndio timbwili lilipoanzia. Ni 5yrs sasa naona hadi nguvu zimemwishia. Ndio kidogo anaanza kujirudi
 
Poleni na majukumu wana Mmu,
Naombeni kujuzwa zaidi, mwanaume anapofanya maamuzi ya kuvunja uaminifu kwa mwenza wake ni kweli huyo mwanamke anakua/lazima na mapungufu au anafanya tu ili mradi kafanya?
Na ni mbinu gani za kufanya /ku handle hii hali endapo umegundua mwenza/mume/mzaz mwenzio(serious rtnshp) ana cheat.
Ushauri tafadhali
Hakuna jibu moja kwa hili swali. Inategemea mambo mengi sana
 
mawasiliano nyumbani yakianza kuwa mabovu, nyumba chafu, nyumba imejaa ndugu wa mke wa kwake hutaki waje. Kuna mtu aliniambia ukiwa kwenye ndoa usikubali kulala na ugomvi, ongeeni mpate suluhu, na mwisho malizieni kwa tendo.
Katika ndoa tendo la ndoa ndio silaha wanayotumia wanaume wengi kama njia ya kuweka mambo sawa hata kama aliomba msamaha lakini kama bado anakupenda.
 
kwanza niliwahi ambiwa mwanamke mmoja wa nini ...utakufa mapema na nikweli ..mfano mimi jana natoka job nakuta kuna halufu mbaya sana kumbe ni samaki kapika ambao hata yeye hajawah wala nikauliza vipi hawa samaki eeeh unakula au nimwage mie nikamwaga sasa kumwambia ivoooo eeeeh nikatoka kurud tena rum inahalufu mbaya ya samaki ..nikamwambia akakasirika till now je sitachepuka yaaan kuchepuka mbakutengeneza wenyewe wa dada .... usafi roho za ghubu.how to handle mwanamme unakuta shida ....lazima mtalaumu tu ila tatizo ni ninyi wenyewe..
 
Mwanaume anacheat kwa sababu zifuatazo:

1.Hakupendi
2.Hujipendi (mfano wewe kuwa mchafu e.t.c)
3.Wewe kuwa mbovu kitandani,kama vile kutokujua style mbalimbali e.t.c
4.Mwanaume kuoa bahati mbaya
5.Wanaume in nature tuna tamaa,ni biological nature
6.Mimi naweza kukupenda wewe kwa sababu una sura nzuri lakini kumbe huna tako kesho nikimwona mwenye tako naanza kumpenda
7.Mwisho but not least,ni vigumu sana mtu kupenda kula aina moja ya mboga deile!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom