LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,656
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hakuna mtu anaechefua roho kama mwanamke akishakuchoka,ukimwambia Nakupenda mke wangu atakubenulia midomo huyo ndio kakustahi,akitoka hapo anamwambia shogake huyu kichefuchefu asojua hata kupiga mswaki na kuoga akatakata na kitanbi chake nae anantia mkosi asubuhi hii kunambia ananipenda hata sijui nna kimavi gani lol...