Az 89
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 1,658
- 691
ni tanga+nyika, nyika ikimaanisha pori(bara kipindi hiko) na tanga ni pwani!
hii ni kutoka kwa babu yangu binafsi nilimuamini ndo maana nikachangia kwny uzi huu
neno tanga lina maana ya shamba hii ilitumiwa na mababu zetu waliokuwa wakiishi hasa maeneo ya pangani enzi za ukoloni na sasa walikuwa wakienda shamba kulima na shamba waliita tanga ambapo kwa ss ndio tanga mjini.....pwani illitwa sahil kama ckosei!..na neno nyika lina maana ya pori...kama kuna mwenye uelewa zaidi ya hapa tuelimishane..akhsante