Nini asili ya jina Tanganyika na Nani alilitunga jina hili?

Kumekuwa na upotoshaji wa asili ya jina Tanganyika nami kwa busara nimeona nitoe link ifuatayo kwa ajili ya kuwasaidia wapotoshaji ili wasiendelee kupotosha watu matahalani kipindi hiki ambacho tunaelekea kwenye katiba mpya. Someni hapo:http://en.wikipedia.org/wiki/Tanganyika_Territory
Mkuu pana wanasiasa kasuku humu nchini ambao wanajifanya eti 'hawajui' jina TANGANYIKA lilipotoka na maana yake. Aksante kwa somo hilo ila kwa kuwa tu wavivu wa kusoma bado utawasikia wakiukasuku msemo wa baba wa taifa. AIBU tupu.
 
Kumekuwa na upotoshaji wa asili ya jina Tanganyika nami kwa busara nimeona nitoe link ifuatayo kwa ajili ya kuwasaidia wapotoshaji ili wasiendelee kupotosha watu matahalani kipindi hiki ambacho tunaelekea kwenye katiba mpya. Someni hapo:http://en.wikipedia.org/wiki/Tanganyika_Territory

Mkuu pana wanasiasa kasuku humu nchini ambao wanajifanya eti 'hawajui' jina TANGANYIKA lilipotoka na maana yake. Aksante kwa somo hilo ila kwa kuwa tu wavivu wa kusoma bado utawasikia wakiukasuku msemo wa baba wa taifa. AIBU tupu.

Nyote wawili ndiyo wavivu wa kufikiri mnaokasuku maandishi ya wikipedia na kuyaona kuwa ni hilo somo. Niliwahi kuandika kidogo katika post nyingine ngoja nitaikopi hapa baadaye kuhusiana na historia ya jina Tanganyika. Wikipedia ilidandia maneno ya mitaani na kuyafanya historia, halafu watu kama nyingi manadhani mmepata somo.


==========================

Neno Tanganyika siyo muungano wa maneno mawili ya Tanga na Nyika, ni neno lililokuwa linatumiwa na watu wa ujiji kwa maana ya kuchanganyika. Wakati huo Ziwa lile lilikuwa likijulikana kama Ziwa la Ujiji. Mtu alieanza kuliita ziwa lile kuwa ni Ziwa Zanganyika ni Mr. Cooley katika article aliyoandika mwaka 1845 (zaidi ya miaka 10 kabla ya Burtone na Speke hawajatembelea eneo hilo). Mr Cooley aliandika article yake iliyoitwa "Memoir on the Geography of K'yassi" kwenye toleo la 15 la jarida la Journal of the Royal Geographical Society, mwaka 1845. Mr Cooley alikuwa amemuhoji mtu mmoja wa Lamu aliyejulikana kama Khamis Bin Tani alijifanya kuwa anajua maziwa yoye hayo. Wakati huo eno la pwani lilikuwa likijulikana kama Zanguebar. Cooley aliandika

The Mucarang'a, or people of Monomoezi; still retain the com-
mercial habits for which they were formerly so much noted.
They descend annually in large numbers to Zanzibar. The
journey to the coast and back again takes 9 or 10 months, includ-
ing the delay of awaiting the proper season for returning. It
would appear that they start on the journey down in March or
April, probably at the end of the heavy rains, and return in Sep-
tember. They are decently clothed in cotton of their own manu-
facture ; but the most obvious mark of their superiority above
other nations of Eastern Africa is, that they employ beasts of
burden, for their merchandise is conveyed to the coast laden on"
asses of a fine breed. From a town or tribe called Zanganyika;
on the opposite or south-western side of the lake (which near Oha
is 3 days voyage across), they obtain copper, ivory, and oil of a
red colour. They are said to have formerly used for money
''little balls, like glass, of a reddish colour."* There is no
difficulty in guessing what is here meant to be described. The
most famous mountain of Eastern Africa is Kirimanjara, which
we suppose, from a number of circumstances, to be the highest
ridg« crossed by the road to Monomoezi. The top of this moun-
tain is strewed all over with red carnelian, the rounded pebbles
of which were doubtless the money referred to. The importation
of beads has probably caused the disappearance of the carnelian
currency.


View attachment 97875

Kwenye mkutano wa Royal Geographical Society uliokutana December 15, mwaka 1856 (miaka mitatu kabla Speke na Burton hawajafika kweny ziwa lile,) Dr Livingstone naye alizungumza hivi:

DR. LIVINGSTON: When I was on my way from Linyanti to Loando, I met
with an Arab, who was going to return home towards Zanzibar across the
southern end of the lake " Tanganyenko," and who informed me that in the
country of the Banyassa (Wun' Yassa?) there is an elevated ridge which trends
towards the N.N.E. The lake lies west of it, and in the northern part is
called Kalague. They cross the southern end of it, and when crossing they
punt the canoe the whole way, and go from one island to another, spending
three days in crossing. It seems, from the description I got from him, to be a
collection of shallow water, exactly like Lake Ngami, which is not deep either,
as I have seen men punting their canoes over it. It seems to be the rem-
nant of a large lake, which existed in this part, before the fissure was made to
allow the Zambesi to flow out. That part of the country is described by
many natives as being exceedingly marshy. The Makoloko went up to the
Shuia Lake and found all the country exceedingly marshy, and a large lake
seems to be actually in existence, or a large marsh with islands in it. But it
can scarcely be so extensive as has been represented, as in that case I must
have crossed part of it or heard more of it.



Account ya kwanza kuhus jina Tanganyika iliandiwaka na Captain Richard Francis Burton mwaka 1860 katika kitabu chake maarufu cha "Lake Regions of Central Africa" na hasa kwenye ukurasa wa 367, kama nilivyouambatanisha hapa.
attachment.php

View attachment 97874

Record zote hizo hizo za kihistoria nilizotaja hapo ninazo ila kama nilivyosema kwenye post yangu ya awali, naomba nipate muda wa kuzipanga vizuri, kwa vile siwezi kuzimabatanisha hapa kutokana na ukubwa wake.
 
Nyote wawili ndiyo wavivu wa kufikiri mnaokasuku maandishi ya wikipedia na kuyaona kuwa ni hilo somo. Niliwahi kuandika kidogo katika post nyingine ngoja nitaikopi hapa baadaye kuhusiana na historia ya jina Tanganyika. Wikipedia ilidandia maneno ya mitaani na kuyafanya historia, halafu watu kama nyingi manadhani mmepata somo.


==========================

Neno Tanganyika siyo muungano wa maneno mawili ya Tanga na Nyika, ni neno lililokuwa linatumiwa na watu wa ujiji kwa maana ya kuchanganyika. Wakati huo Ziwa lile lilikuwa likijulikana kama Ziwa la Ujiji. Mtu alieanza kuliita ziwa lile kuwa ni Ziwa Zanganyika ni Mr. Cooley katika article aliyoandika mwaka 1845 (zaidi ya miaka 10 kabla ya Burtone na Speke hawajatembelea eneo hilo). Mr Cooley aliandika article yake iliyoitwa "Memoir on the Geography of K'yassi" kwenye toleo la 15 la jarida la Journal of the Royal Geographical Society, mwaka 1845. Mr Cooley alikuwa amemuhoji mtu mmoja wa Lamu aliyejulikana kama Khamis Bin Tani alijifanya kuwa anajua maziwa yoye hayo. Wakati huo eno la pwani lilikuwa likijulikana kama Zanguebar. Cooley aliandika

The Mucarang'a, or people of Monomoezi; still retain the com-
mercial habits for which they were formerly so much noted.
They descend annually in large numbers to Zanzibar. The
journey to the coast and back again takes 9 or 10 months, includ-
ing the delay of awaiting the proper season for returning. It
would appear that they start on the journey down in March or
April, probably at the end of the heavy rains, and return in Sep-
tember. They are decently clothed in cotton of their own manu-
facture ; but the most obvious mark of their superiority above
other nations of Eastern Africa is, that they employ beasts of
burden, for their merchandise is conveyed to the coast laden on"
asses of a fine breed. From a town or tribe called Zanganyika;
on the opposite or south-western side of the lake (which near Oha
is 3 days voyage across), they obtain copper, ivory, and oil of a
red colour. They are said to have formerly used for money
''little balls, like glass, of a reddish colour."* There is no
difficulty in guessing what is here meant to be described. The
most famous mountain of Eastern Africa is Kirimanjara, which
we suppose, from a number of circumstances, to be the highest
ridg« crossed by the road to Monomoezi. The top of this moun-
tain is strewed all over with red carnelian, the rounded pebbles
of which were doubtless the money referred to. The importation
of beads has probably caused the disappearance of the carnelian
currency.


View attachment 97875

Kwenye mkutano wa Royal Geographical Society uliokutana December 15, mwaka 1856 (miaka mitatu kabla Speke na Burton hawajafika kweny ziwa lile,) Dr Livingstone naye alizungumza hivi:

DR. LIVINGSTON: When I was on my way from Linyanti to Loando, I met
with an Arab, who was going to return home towards Zanzibar across the
southern end of the lake " Tanganyenko," and who informed me that in the
country of the Banyassa (Wun' Yassa?) there is an elevated ridge which trends
towards the N.N.E. The lake lies west of it, and in the northern part is
called Kalague. They cross the southern end of it, and when crossing they
punt the canoe the whole way, and go from one island to another, spending
three days in crossing. It seems, from the description I got from him, to be a
collection of shallow water, exactly like Lake Ngami, which is not deep either,
as I have seen men punting their canoes over it. It seems to be the rem-
nant of a large lake, which existed in this part, before the fissure was made to
allow the Zambesi to flow out. That part of the country is described by
many natives as being exceedingly marshy. The Makoloko went up to the
Shuia Lake and found all the country exceedingly marshy, and a large lake
seems to be actually in existence, or a large marsh with islands in it. But it
can scarcely be so extensive as has been represented, as in that case I must
have crossed part of it or heard more of it.



Account ya kwanza kuhus jina Tanganyika iliandiwaka na Captain Richard Francis Burton mwaka 1860 katika kitabu chake maarufu cha "Lake Regions of Central Africa" na hasa kwenye ukurasa wa 367, kama nilivyouambatanisha hapa.
attachment.php

View attachment 97874

Record zote hizo hizo za kihistoria nilizotaja hapo ninazo ila kama nilivyosema kwenye post yangu ya awali, naomba nipate muda wa kuzipanga vizuri, kwa vile siwezi kuzimabatanisha hapa kutokana na ukubwa wake.
Mkuu kumbe na wewe pana chanzo chake, nilidhani wewe ulikuwepo wakati huo na kuanzisha jina la Tanganyika!!!!! Kinachogomba ni baadhi ya wanasiasa ambao wanajifanya ETI asili ya jina hili hawalijui lakini wewe pia umetupa maana nyingine pia. Aksante sana mkuu kwa elimu yako, tuwafahamishe na hao KASUKU.
 
Katika kipindi cha wiki mbili au tatu zijazo, nitaandika hapa historia ya jina Tanganyika kwa mapana sana. Historia ya jina hili Tangayika siyo ndefu sana ila historia ya upotoshaji kuwa Tanganyika ilitokana na maneno ya Tanga na Nyika ndiyo inayosababisha historia kamili ya jina hili iwe ndefu kidogo kwa vile itabidi nijadili historia ya jina la Tanganyika, halafu nifanye hivyo hivyo kwenye historia ya jina la Tanga kabla sijabainisha kuwa jina Tanganyika halikutokana na muunganisho wa maneno Tanga na Nyika.

Kuna mambo mawili nitaomba yavumiliwe na wana JF pamoja na mamodereta: Invisible, Ab-Titchaz na wengineo, wanivumilie. La kwanza ni kuwa nitaanzisha thread mpya kabisa kwa vile hii imeshachanganywa na mambo yasikokuwa ya kihistoria, kwa hiyo nitaomba thread hiyo iwachwe hivyo hivyo. Halafu la pili ni kuwa pia wanivumile kwa typographic erros nyingi ambazo hufanya nikiwa naandika mambo kwa haraka online bila kupata muda wa kuyasoma tena; nitarekebisha errors hizo polepole kila mara nitakaposoma post hizo tena.
 
mkuu Kichuguu hiyo thread itabidi iwe stick ili vizazi na vizazi vijue historia ya jina TANGANYIKA.
 
Last edited by a moderator:
Wana JF,

Nimejaribu kutafuta kwa muda mrefu kiasi sasa asili ya jina la Tanzania Bara - Tanganyika!
Ni nini asili ya neno/jina hilo? Linatoka kwenye lugha gani? Maana yake na ilikuwaje mpaka nchi yetu ikaitwa Tanganyika?


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Wana JF,

Nimejaribu kutafuta kwa muda mrefu kiasi sasa asili ya jina la Tanzania Bara - Tanganyika!
Ni nini asili ya neno/jina hilo? Linatoka kwenye lugha gani? Maana yake na ilikuwaje mpaka nchi yetu ikaitwa Tanganyika?


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Nivizuri kama tungewapata watu wanaojua lugha ya Kijerumani wangeweza kutusaidia maana ya neno "Tanganyika" nasema hivi kwa sababu watu wa kwanza kuianzisha Tanganyika walikua ni wajerumani.
 
Wajerumani walipofika kwa mara ya kwanza walifikia maeneo ya Tanga.

wakawauliza wenyeji hapa panaitwaje?

Wenyejii walijibu: Hapa panaitwa Tanga (yaani maeneo yale ya Tanga)

Na huko mbali, yaani, mbali na pale Tanga panaitwa "Nyika" maana yake Porini.

Ndio maana watu wa Tanga wanawita watu wa makabila mengine "wanyika", yaani watu wa porini.

Wajerumani waliunganisha na kupata Tanga-nyika
 
Wajerumani walipofika kwa mara ya kwanza walifikia maeneo ya Tanga.

wakawauliza wenyeji hapa panaitwaje?

Wenyejii walijibu: Hapa panaitwa Tanga (yaani maeneo yale ya Tanga)

Na huko mbali, yaani, mbali na pale Tanga panaitwa "Nyika" maana yake Porini.

Ndio maana watu wa Tanga wanawita watu wa makabila mengine "wanyika", yaani watu wa porini.

Wajerumani waliunganisha na kupata Tanga-nyika

Yaweza kuwa kweli!
 
Unachanganya mada yako. Tanzania bara, na Tanganyika ni vitu viwili tofauti. Tanganyika ni kama alivyokujibu Sumbawanga hapo juu kuhusu kisa cha wajerumani na watu wa Tanga. Tanzania ni muunganiko wa maneno matatu Tanganyika, Zanzibar na Azania. Chukua herufi Tatu za kwanza za Tanganyika, ongeza herufi tatu za kwanza za Zanzibar halafu weka herufi nne za mwisho za neno azania. Usipoipata Tanzania ni pm. Hilo neno Azania ni neno maarufu la kibantu la wakati huo.
 
Wajerumani walipofika kwa mara ya kwanza walifikia maeneo ya Tanga.

wakawauliza wenyeji hapa panaitwaje?

Wenyejii walijibu: Hapa panaitwa Tanga (yaani maeneo yale ya Tanga)

Na huko mbali, yaani, mbali na pale Tanga panaitwa "Nyika" maana yake Porini.

Ndio maana watu wa Tanga wanawita watu wa makabila mengine "wanyika", yaani watu wa porini.

Wajerumani waliunganisha na kupata Tanga-nyika

mkuu je wajuwa jina la tanga asili yake au limetoka na nn?
 
Ziwa Tanganyika ndo asili ye Nchi Tanganyika. Neno Tanganyika ni mkusanyiko wa majina mawili ya samaki ktk ziwa Tanganyika ambao ni tanga na nyika.
Tanga ni samaki kama aina ya tilapia, mdogo wastani na anaruka anapoona dalili ya kukamatwa na nyavu.
Nyika ni samaki kama alivyo kambale na anangozi yenye mishipa mingi ambayo inampa uwezo wa kujitikisa kwa nguvu na kuzalisha nguvu kama shoti ya umeme.
Nawasilisha.
 
Ziwa Tanganyika ndo asili ye Nchi Tanganyika. Neno Tanganyika ni mkusanyiko wa majina mawili ya samaki ktk ziwa Tanganyika ambao ni tanga na nyika.
Tanga ni samaki kama aina ya tilapia, mdogo wastani na anaruka anapoona dalili ya kukamatwa na nyavu.
Nyika ni samaki kama alivyo kambale na anangozi yenye mishipa mingi ambayo inampa uwezo wa kujitikisa kwa nguvu na kuzalisha nguvu kama shoti ya umeme.
Nawasilisha.
​hii ya ukweli zaidi mi zakuunga unga siaminigi
 
Kuna mijadala mingi imepita humu JF juu ya ujio wa Tanganyika kufuatia Rasmi ya pili ya katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ya mwaka 2013, lakini katika mijadala yote sijaona ikitoa tafsiri na asili ya hili neno Tanganyika zaidi ya baadhi ya members kusema kuwa asili ya neno Tanganyika ni Tanga bila ya kusema maana ya neno lenyewe.

Hata hivyo nimeshawahi kusoma mahali kuwa asili ya neno Tanganyika ni Kigoma, (Lake Tanganyika),na neno hili limetokana na aina flani ya samaki (electric eels) anayeitwa NTANGA na samaki huyu huwa anatoa umeme na anapatikana ziwa Tanganyika hence neno Tanganyika.

Kuna wengine wakisema kuwa neno hili asili yake ni Kigoma hukohuko likiwa na maana ya makutano ya watu yaliyokuwa yakifanyika ziwani hence Tanganyika yaani kuchanganyika.

Sisi wengine watu wa bara na kwa lugha ya kwetu neno NYIKA hata hivyo lina maana pori ,sasa lilivyokuja kuunganishwa na Tanga hapa ndo kitendawili kingine.

Naomba wadau wenye kujua maana na asili ya hili neno watuelimishe tafadhali.
 
Tanga ni tambara kubwa linatumiwa na vyombo vya kwenye maji kwa ajili ya kukusanya upepo kusukuma chombo km hujalijua tembelea baharini au ktk maziwa au mito utaliona hili tanga na nyika ni hilo pori .
Why Tanganyika?
Unaweza kufika nchini kwa kutumia tanga au nyika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom