Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Na wenzake wanajua ndio maana hata unaibu waziri hawakumpa tena japo ana elimu yake ya kumtosha..
Kuna haja ya kukutana na wazee wakimeru watushauri la kufanya
Hakuna la kufanya maana walitoa tahadhari kabla hata ya uchaguzi hawakusikilizwa!
Wanasubiri tu uchaguzi urudiwe wamchague waliyemtaka maana huyu ni siku tu zinahesabiwa!