Pro-CDM JF wengi ni pumba sana hata kazi za mbunge hawajui.
Weka wewe barabara alizojenga mbunge wako
Mzee unatwanga maji kwenye kinu. Hawaelewi hao, wanachojua ni kulalamika na kusingizia.
Pro-CDM JF wengi ni pumba sana hata kazi za mbunge hawajui.
Weka wewe barabara alizojenga mbunge wako
Mbunge wangu Jeremia Sumari(ccm) arumeru toka alipochaguliwa hajawahi fika bungeni. hata kuapishwa bado ni mgonjwa.
Nimesoma thread iliyoandikwa kuwa " Filikunjombe afanya makubwa Ludewa " hii imekuja kutokana na Mbuge huyu kijana kutoa gari la kubebea wagonjwa la Tsh mil 90.
Naomba tuangalie kwa kina Wabunge wengine wamefanya nini tangu walipo chaguliwa hadi sasa ili kuwaletea wananchi maendeleo ikiwa ni pamoja na kutimiza baadhi ya ahadi alizo ahidi kipindi cha kampeni.
Mfano SUGU - Mbeya Mjini ( CHADEMA), Barabara nyingi za mitaani zina wekwa changalawe chini ya uongozi wake
Filikunjombe - Ludewa (CCM), Ametoa gari la wagonjwa na kuahidi kutoa zaidi kila kata ikiwa ni pamoja na kufuatilia ahadi ya Mh. Rais
NOTE: Hii itasaidiakujua nani hawajibiki kwa kutimiza ahadi zake kwa hiyo atapoteza nafasi yake 2015
Kumbuka siku njema huonekana tangu asubuhi
Naomba kuwasilisha
Amesimamia kvipi?..... yaani kama nyapara au?
Mbunge haleti barabara, wala haleti umeme .... ungeuliza hizo barabara na huo umeme umefadhiliwa na nani,hizo projects ziliandikwa na nani na fedha zimetoka wapi?
Hapo ndio utajua what it took to get those projects going.
Sio mbunge anayelete miradi ya kiuchumi. Hapa watanzania inabidi tupeane shule.