Tatizo bado unaishi kwa shemeji iyo mada anaongeaga jioni wakati wote tumetoka kweny mishemishe basi ndo mda watu wengi hutulia na sim zao na kuwapigia wapendwa wao au wewe hata ukiwa kazini mda wote una kua na simu.??Munashinda pamoja? Kwanini hio mada aizungumzie kila ukiwepo wewe? Mbado
Niwajibike kwa lipi mkuu??Ukimwacha apigwe utawajibika mshauri tuu
Umesoma uzi ukaelewa ndgu??Huna mazoea ila maisha yake umefatilia ABC mpk mwisho.
Haya Ndo matatizo ya watu wa mkoani
Hivi hii kampuni si imeonekana kuwa inawanyonya raia na kuwa na elements za utapeli?!Kama ana miaka chini ya 35 achana naye, kupoteza ni sehemu ya maisha. Ni kujifunza pia.
Mimi kuna mdada hapa, anajifanya mjuviii anajua kila kitu, mzee wa fursa. Anaona wenzake wote wajinga.
Ameacha kazi ana mwezi sasa, anapelekeshwa na hao GNLD.
Kumshauri mtu aliyeingia huko ni kujitafutia chuki na ubaya, maana ukishaubgia kule unakuwa full radicalized yaani unafanywa msukule.
Kumshauri kwamba hizo kampuni ni mbaya ni sawa na kumdiss Diamond mbele ya Baba Levo au shabiki yake yoyote, au kumdiss Gwajima, au Kakobe mbele ya waumini wao au kumdiss MAGU mbele ya MATAGA. Hao ni watu wa kuwahurumia na kuwapa muda.
Binafsi nina brother alishawahi kuwa huko, mimi nilimwacha tu, akachoka mwenyewe akaona hailipi akaachana nayo.
Simple.
People with independent minds are very few.
Tena sasa hivi wanabanwa balaa, kila week seminar za kwenda kufundwa kisaikolojia, huku wakiwa limited kiakili wasiwasikilize wengine.
Wanaambiwa, ukijidanganya kuwasikiliza MEDIA au WATU wengine umekwisha. Lengo wawasikilize wao tu, magwiji wa hizo kazi.
Nitafanya ivo nitaleta mrejesho piaYaan kama umeshajua why usimtafute alafu ukampanga ukweli akizingua unaachananae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rafiki yangu jinsia KE.
Aliwai nishawishi niingie kwa Mr Kuku. Nikagoma nikamwambia mtakuja kupigwa, alichukia sanaa
Mda ukafika yakawatokea Matakoni[emoji23]
Ile kumcheka ikawa bifu la chinichini hadi leo,
Mda mwingi status zake za vijembe vijembe, ni wadada wanaishi fakelife,
Hajawai post akiwa anakula Chakula cha kawaida,
Yeye anapendeza ila mme wake anajinyima sana.
Mr kuku karudi kwa kasiMkuu izo mambo huwa zinalipa mwanzo zinapoanza kufahamika ili watu waamini utapeli unaanza ikishakua kubwa ni kama ishu za kina Mr. Kuku mwisho wa siku ni hasara tu
Nitafanya ivo nitaleta mrejesho piaYaan kama umeshajua why usimtafute alafu ukampanga ukweli akizingua unaachananae
Eeeeh bna nliona mradi wake mpya jamaa alipiga pesa hatariMr kuku karudi kwa kasi
vilio vita sikika tena soonEeeeh bna nliona mradi wake mpya jamaa alipiga pesa hatari
Anaongea kwa sauti hadi namsikia, wala sio kufatilia.Hujamuzoea lakini umeweza kufuatiria maongezi yake kwa wiki nzima! Huo ni uchawi.
Hapo nimeongelea maisha yake ABC mpaka mwisho??Huna mazoea ila maisha yake umefatilia ABC mpk mwisho.
Haya Ndo matatizo ya watu wa mkoani