Ukiwa na blog tu basi wewe celebrity?
unampenda lina au huyu ?dida wa g ni celebrity.
Ndiye mtema cheche wa times fm katika kipindi cha mitikisiko ya pwani.
Katika hii episode ya mkasi alikuwa kwenye hiatus lakini sasa kesharudi tena hewani.
Hakunaga kama dida wa g. Mimi namkubali saaaaaaaaaaaaaaaaaana.
unampenda lina au huyu ?
Hiyo saloon itakuwa haina vioo.
daym ugly make up....invisible weka jukwaa la urembo
Huyo Sauda Mwilima kumuweka hapa na kumdhihaki inaweza kuwa inakubalika kwa vile yeye ni public figure....
Mnalolifanya kwa huyo mwengine sivyo hata kidogo
invisible weka jukwaa la urembo
Nimeisaka komenti kama hii kwa muda mrefu sana humu. Bahati mbaya hii ndo ya kwanza sredi nzima. Natafuta sababu bado sijaipata.Huyo Sauda Mwilima kumuweka hapa na kumdhihaki inaweza kuwa inakubalika kwa vile yeye ni public figure....
Mnalolifanya kwa huyo mwengine sivyo hata kidogo
Sielewi mods wanafurahishwa na huu mwenendo wa hii thread au vipi. Kuingilia faragha ya mtu si kitu chema hata kidogo. Wanachowafanyia hawa akina dada kwenye hii sredi si haki kabisa. Nashangazwa na baadhi ya "wanaume" nao kufuata mkumbo wa kuwaponda hawa akina dada.Toa boriti kwako kabla hujataka kutoa kibanzi kwa mwenzio
Kitendo tunachomtendea huyo Bi Harusi kwenye picha ya kwanza si chema hata kidogo. Kwa nini tunataka kuondoa happiness yake kwa mambo yasotuhusu?
Sauda Mwilima vyake vinayeya, Bwana Harusi hakukimbia wala nini, usikute hao wanaojiona wanajua kujipamba hata wachumba hawana
duh....hivi tunahitaji kuongea na mkuu invii eeeh.....
hatuna jukwaa la urembo hapa.....
Tukiwaambia sisi kama siku hizi baadhi yenu mazidishz hii mambo tunaitwa washamba..................m happy leo mmeanza kuona na nyie wenyewe
Kweli mtu eye shadow za silver mchana kweupeeeee......au kijani mbichi jamani kama mgomba banaaa.....huku liwig limeoverstay linatoa harufu kama nini halafu ndo wanapenda ku hug kila mkionana wooow......jitu limejichubua ila miguu vidole kama kenge......halafu ukigongana nalo macho hata hali blink yaaani limewasha full saa zote......aaaaarghhhh mtuonee huruma bana watoto wa wanawake wenzenu