ningekuwa bwana harusi ningekimbia

ningekuwa bwana harusi ningekimbia

Huyo ni bibi arusi au ajuza arusi??? maana hiyo sura...hata sitii neno hapo.
 
Saida Mwilima alidanganywa kuwa mkorogo unampendeza. Kweli ving'aro vyote si dhahabu, najaribu kuifikiria harufu ya ngozi inayounguzwa na madawa.

Hivi hawa wangekuwa wanaishi vijijini wangefanana na nini, manake hapo wako mjini ni hivyo!!! Wanaboa sana... mbaya zaidi wanadanganya wenzao kuwa wako juu, eti madada wa mjini!!!
 
Mhh hawa wamefanana ngozi na jamaa yetu mmoja mwakyemb..
 
images
 
Picha za harusi badala ya kuziweka sebuleni unaweka uvunguni chumbani.....
 
Huyo Sauda Mwilima kumuweka hapa na kumdhihaki inaweza kuwa inakubalika kwa vile yeye ni public figure....


Mnalolifanya kwa huyo mwengine sivyo hata kidogo
 
huyo sauda mwilima kumuweka hapa na kumdhihaki inaweza kuwa inakubalika kwa vile yeye ni public figure....


Mnalolifanya kwa huyo mwengine sivyo hata kidogo
au ni wewe gee.
Hapa tunaelimisha jamii
so tuna uhuru wa kutumia reference material yeyeot as long imetoka katika jamii husika my dear
 
au ni wewe gee.
Hapa tunaelimisha jamii
so tuna uhuru wa kutumia reference material yeyeot as long imetoka katika jamii husika my dear

Hakuna maelimishano hayo. Mbona nyie hamtoi picha zenu zikatumiwa kuelimisha wengine?

Mnajuaje kama labda alijipaka mwenyewe, au mwenyewe hivyo hasa ndivyo alivyotaka iwe?

Isiwe kuikamata picha ya mtu mtandaoni ndo itumiwe ndivyo sivyo
 
Na Sauda Mwilima ukimlinganisha na mwenyewe anavyojikandika makeup mbona leo katoka chicha kabisa!

Watu wengine wanapenda kuonekana natural wengine wanapenda makeup
 
hakuna maelimishano hayo. Mbona nyie hamtoi picha zenu zikatumiwa kuelimisha wengine?

Mnajuaje kama labda alijipaka mwenyewe, au mwenyewe hivyo hasa ndivyo alivyotaka iwe?

Isiwe kuikamata picha ya mtu mtandaoni ndo itumiwe ndivyo sivyo
siku zikihitajika tutatoa gee
ila leo tumeanzia hapo hope somo limeeleweka bana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom