Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
papaa invi kauzu sana yule
hachuniki....
hatujawa serious tuu....
hebu tujaribu kuwa serious tuone.....
papaa invi kauzu sana yule
hachuniki....
utasutwa?.......................
mmh halafu kazi yenu kusema u look nice baby .umependezaaa? loh ...acheni unafiki bwanaTukiwaambia sisi kama siku hizi baadhi yenu mazidishz hii mambo tunaitwa washamba..................m happy leo mmeanza kuona na nyie wenyewe
Kweli mtu eye shadow za silver mchana kweupeeeee......au kijani mbichi jamani kama mgomba banaaa.....huku liwig limeoverstay linatoa harufu kama nini halafu ndo wanapenda ku hug kila mkionana wooow......jitu limejichubua ila miguu vidole kama kenge......halafu ukigongana nalo macho hata hali blink yaaani limewasha full saa zote......aaaaarghhhh mtuonee huruma bana watoto wa wanawake wenzenu
duh....hivi tunahitaji kuongea na mkuu invii eeeh.....
hatuna jukwaa la urembo hapa.....
hizo ni cream wanazotumia kujichubulia.....
make up ikipakwa kwa displine......inatulia......
hivi walijiangalia kwenye kioo wakajiona wapo vizuri kabisa?bado sijajua kwa nn wanawake hatujipendi yaani mpaka unafikia hatua ya kuharibu ngozi yako namna hii?
Watu wangejua ukitupia foundations za mac ,iman,maybelline,sleek nk mambo yanakuwa bomba
wao wanakimbilia mikorogo ya wakongo.
Bado sijajua kwa nn wanawake hatujipendi yaani mpaka unafikia hatua ya kuharibu ngozi yako namna hii?
watu wangejua ukitupia Foundations za Mac ,Iman,Maybelline,Sleek nk mambo yanakuwa bomba
wao wanakimbilia mikorogo ya wakongo.
Aisee wamekuwa kama wana sesere? Bila shaka pamoja na kupakwa hiyo mnayoiita "make up' mikononi na miguuni pia wamechorwa ile michoro ya kiarabu (Hina) inayofanya baadhi ya kinamama waonekane kama Majini vile!!oooh my god urembo ukizidi sana unaharibika
Bibi harusi no mvuto
Bestlady no mvuto
Make up zimezidi...
Huyu aliyewapamba kina sauda mbona kawaharibu vya kutosha..
Ni wakati sasa wa mpambwaji kusema anataka nn:shock:
Bado hujakutana amebandika na zile 'waipa' kama za magari machoni, akiblink blink macho lazima ukimbie, wengine wanaweza kope ndefu kama vidole.Tukiwaambia sisi kama siku hizi baadhi yenu mazidishz hii mambo tunaitwa washamba..................m happy leo mmeanza kuona na nyie wenyewe
Kweli mtu eye shadow za silver mchana kweupeeeee......au kijani mbichi jamani kama mgomba banaaa.....huku liwig limeoverstay linatoa harufu kama nini halafu ndo wanapenda ku hug kila mkionana wooow......jitu limejichubua ila miguu vidole kama kenge......halafu ukigongana nalo macho hata hali blink yaaani limewasha full saa zote......aaaaarghhhh mtuonee huruma bana watoto wa wanawake wenzenu
kweli hili jambo liwekwe kwenye katiba mpya kabisa
hina ni nzuri inategemea na mchoraji mkuuaisee wamekuwa kama wana sesere? Bila shaka pamoja na kupakwa hiyo mnayoiita "make up' mikononi na miguuni pia wamechorwa ile michoro ya kiarabu (hina) inayofanya baadhi ya kinamama waonekane kama majini vile!!