ningekuwa bwana harusi ningekimbia

ningekuwa bwana harusi ningekimbia

duh midemu imekuwa na ngozi kama ya kitimoto. Haya ukikutana nayo usiku lazima ukojoe kitandani. Khaa!
uhuhuu babu iwe weka photo ya mama matesha siku ya wedding yake
zamani watu walikuwa wanaolewa mabikra hadi sura zilikuwa bikra sasa hivi huulizi kitu used everywhere........
 
Na hawa je?

Waimbaji wa Jahazi Modern Taarabu wakiwa wamepozi kabla ya shoo.JPG

tuna kazi wanawake
 
Apo katoka saluni...Sipati picha unapoamka asubuhi si ndo mwanzo wa kukimbiana???
 
mmh halafu kazi yenu kusema u look nice baby .umependezaaa? loh ...acheni unafiki bwana

Know what Smile.......kama anakuhusu waeza tia neno....imagine uko na office mate mnatoka na anakuambia "shem wako atatujoin......................." we unaona poa tu maraaa ndo dubwasha kama hilo linatokea sasa hapo utachana live kweli????

Au umwambie mwenyewe ili mkosane for a volatile episode????

Saa nyingine kukaa kimya kunasaidia ndugu yangu ..................ila kwa mke wangu aisee hatoi mguu hapo rum mpaka nimkague na kuridhika that she is not a replica of rainbow na anajua wazi kuwa mi kuchukua taulo na kumrudisha kwa dressing table ni jambo ambalo sihitaji ushauri..............
 
halafu wanawake tulivyokuwa wanafiki,pengine hapo atam hug bi harusi na kumwambia amependeza.kimoyo moyo anamcheka.wameonekana wazee kuliko umri wao
 
halafu wanawake tulivyokuwa wanafiki,pengine hapo atam hug bi harusi na kumwambia amependeza.kimoyo moyo anamcheka.wameonekana wazee kuliko umri wao
hadi sasa najiuliza hivi hao waliowapamba wooote waliona wamependeza? au alirembwa na vipofu?
 
Namshukuru Mungu kuniumba mweusi tena najivunia kuwa mweusi....
Kama WEUPE ni DILI mbona UBUYU unapakwa RANGI?
 
unajua tatizo hawa masuperstar wmetumia sana carollight hadi ngozi imeachia..af mbaya zaidi kaenda kumix mamake up sijui ya ngozi za kiarabu kawa kama kakitik
moto
 
SHIT! wanawake wabaya ka wadudu, kwanza wameenda salon za elfu2 pili ni kawaida yao kujikoboa kiasi kwamba hapo wao wanaona ni kawaida. Mie mwanamke wa hivyo hapana nitakua na mtindi ubongo nikimpenda demu anaetumia mikorogo.
 
SHIT! wanawake wabaya ka wadudu, kwanza wameenda salon za elfu2 pili ni kawaida yao kujikoboa kiasi kwamba hapo wao wanaona ni kawaida. Mie mwanamke wa hivyo hapana nitakua na mtindi ubongo nikimpenda demu anaetumia mikorogo.


Wanaume acheni usanii wewe na wenzio wa JF, kwani wameolewa na nani mashetani?..... au wanaume kama nyinyi. Mwasema hamuwataki kukandia kwa wingi, lakini hao hao wenye dozi za Carolite ndio mwawatafuta!

Stop living in denial....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom