kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,565
- 12,652
Mtu kama Samia hana mvuto wowote wa kisiasa,hajui chochote cha uongozi,huo uraisi kaupata kwa bahati mbaya tu coz hakua planned kabisa kuwa hata waziri wa Mambo ya nje au fedha,imetokea tu bahati tu hii hapa na wajeda wakaamua kufuata katiba ya JMT.
Mtu kama huyo eti anakaa kabisa kummbeza hayati Magufuli,anasahau mheshimiwa Magufuli alimteua out of blue,hakuna mtanganyika aliyekua anamfahamu wala.
Eti leo hii mtu kama huyo anajifanya kujibishana na kanisa teule la Mungu.
Wakuu,ningekua mimi ndiye Samia Hassan Suluhu na ukilaza wangu nilionao ningekua nakesha kwenye kaburi la Hayati Magufuli nikiimba na kusujudu kila wakati.
Mtu kama huyo eti anakaa kabisa kummbeza hayati Magufuli,anasahau mheshimiwa Magufuli alimteua out of blue,hakuna mtanganyika aliyekua anamfahamu wala.
Eti leo hii mtu kama huyo anajifanya kujibishana na kanisa teule la Mungu.
Wakuu,ningekua mimi ndiye Samia Hassan Suluhu na ukilaza wangu nilionao ningekua nakesha kwenye kaburi la Hayati Magufuli nikiimba na kusujudu kila wakati.