Ningekua mimi Samia ningemshukuru sana hayati Magufuli.

kyagata

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
6,565
12,652
Mtu kama Samia hana mvuto wowote wa kisiasa,hajui chochote cha uongozi,huo uraisi kaupata kwa bahati mbaya tu coz hakua planned kabisa kuwa hata waziri wa Mambo ya nje au fedha,imetokea tu bahati tu hii hapa na wajeda wakaamua kufuata katiba ya JMT.
Mtu kama huyo eti anakaa kabisa kummbeza hayati Magufuli,anasahau mheshimiwa Magufuli alimteua out of blue,hakuna mtanganyika aliyekua anamfahamu wala.
Eti leo hii mtu kama huyo anajifanya kujibishana na kanisa teule la Mungu.
Wakuu,ningekua mimi ndiye Samia Hassan Suluhu na ukilaza wangu nilionao ningekua nakesha kwenye kaburi la Hayati Magufuli nikiimba na kusujudu kila wakati.
 
Mtu kama Samia hana mvuto wowote wa kisiasa,hajui chochote cha uongozi,huo uraisi kaupata kwa bahati mbaya tu coz hakua planned kabisa kuwa hata waziri wa Mambo ya nje au fedha,imetokea tu bahati tu hii hapa na wajeda wakaamua kufuata katiba ya JMT.
Mtu kama huyo eti anakaa kabisa kummbeza hayati Magufuli,anasahau mheshimiwa Magufuli alimteua out of blue,hakuna mtanganyika aliyekua anamfahamu wala.
Eti leo hii mtu kama huyo anajifanya kujibishana na kanisa teule la Mungu.
Wakuu,ningekua mimi ndiye Samia Hassan Suluhu na ukilaza wangu nilionao ningekua nakesha kwenye kaburi la Hayati Magufuli nikiimba na kusujudu kila wakati.
Kazi ya Mungu haina makosa.

Kumbuka hilo.
 
Mtu kama Samia hana mvuto wowote wa kisiasa,hajui chochote cha uongozi,huo uraisi kaupata kwa bahati mbaya tu coz hakua planned kabisa kuwa hata waziri wa Mambo ya nje au fedha,imetokea tu bahati tu hii hapa na wajeda wakaamua kufuata katiba ya JMT.
Huyo mama anawashukuru waliofyatua mtego na kuwaona kama miungu wake
 
Mtu kama Samia hana mvuto wowote wa kisiasa,hajui chochote cha uongozi,huo uraisi kaupata kwa bahati mbaya tu coz hakua planned kabisa kuwa hata waziri wa Mambo ya nje au fedha,imetokea tu bahati tu hii hapa na wajeda wakaamua kufuata katiba ya JMT.
Mtu kama huyo eti anakaa kabisa kummbeza hayati Magufuli,anasahau mheshimiwa Magufuli alimteua out of blue,hakuna mtanganyika aliyekua anamfahamu wala.
Eti leo hii mtu kama huyo anajifanya kujibishana na kanisa teule la Mungu.
Wakuu,ningekua mimi ndiye Samia Hassan Suluhu na ukilaza wangu nilionao ningekua nakesha kwenye kaburi la Hayati Magufuli nikiimba na kusujudu kila wakati.
Ndg, inawezekana umesahau historia ya uteuzi wake. JPM hakuwahi kumtaka kabisa huyu mama (sidhani kama kuna mtu mwenye akili zake timamu, anayeona mbali angeweza kumteua kwenye nafasi ya juu kiasi hicho)
Uteuzi wake ulitokana na hao wanaomshauri sasa! Huo ndio ukweli.
Na hata alisema wazi kwamba hakuwa tayari na alikataa, wakambembeleza akubali! Binafsi sikuwahi kumkubali tangu akiwa makamu, na wala si kwa ubaya bali kuna sababu za msingi kabisa!
 
Mtu kama Samia hana mvuto wowote wa kisiasa,hajui chochote cha uongozi,huo uraisi kaupata kwa bahati mbaya tu coz hakua planned kabisa kuwa hata waziri wa Mambo ya nje au fedha,imetokea tu bahati tu hii hapa na wajeda wakaamua kufuata katiba ya JMT.
Mtu kama huyo eti anakaa kabisa kummbeza hayati Magufuli,anasahau mheshimiwa Magufuli alimteua out of blue,hakuna mtanganyika aliyekua anamfahamu wala.
Eti leo hii mtu kama huyo anajifanya kujibishana na kanisa teule la Mungu.
Wakuu,ningekua mimi ndiye Samia Hassan Suluhu na ukilaza wangu nilionao ningekua nakesha kwenye kaburi la Hayati Magufuli nikiimba na kusujudu kila wakati.
Haya matusi sasa
 
Ndg, inawezekana umesahau historia ya uteuzi wake. JPM hakuwahi kumtaka kabisa huyu mama (sidhani kama kuna mtu mwenye akili zake timamu, anayeona mbali angeweza kumteua kwenye nafasi ya juu kiasi hicho)
Uteuzi wake ulitokana na hao wanaomshauri sasa! Huo ndio ukweli.
Na hata alisema wazi kwamba hakuwa tayari na alikataa, wakambembeleza akubali! Binafsi sikuwahi kumkubali tangu akiwa makamu, na wala si kwa ubaya bali kuna sababu za msingi kabisa!
ni mtu wa hovyo kabisa katika historia ya taifa letu.
 
Mtu kama Samia hana mvuto wowote wa kisiasa,hajui chochote cha uongozi,huo uraisi kaupata kwa bahati mbaya tu coz hakua planned kabisa kuwa hata waziri wa Mambo ya nje au fedha,imetokea tu bahati tu hii hapa na wajeda wakaamua kufuata katiba ya JMT.
Mtu kama huyo eti anakaa kabisa kummbeza hayati Magufuli,anasahau mheshimiwa Magufuli alimteua out of blue,hakuna mtanganyika aliyekua anamfahamu wala.
Eti leo hii mtu kama huyo anajifanya kujibishana na kanisa teule la Mungu.
Wakuu,ningekua mimi ndiye Samia Hassan Suluhu na ukilaza wangu nilionao ningekua nakesha kwenye kaburi la Hayati Magufuli nikiimba na kusujudu kila wakati.
Kama Mama Samia hana mvuto kwanini asingeteuliwa mama yako kuwa makamu wa Rais?
 
Ndg, inawezekana umesahau historia ya uteuzi wake. JPM hakuwahi kumtaka kabisa huyu mama (sidhani kama kuna mtu mwenye akili zake timamu, anayeona mbali angeweza kumteua kwenye nafasi ya juu kiasi hicho)
Uteuzi wake ulitokana na hao wanaomshauri sasa! Huo ndio ukweli.
Na hata alisema wazi kwamba hakuwa tayari na alikataa, wakambembeleza akubali! Binafsi sikuwahi kumkubali tangu akiwa makamu, na wala si kwa ubaya bali kuna sababu za msingi kabisa!
Kama alikuwa hafai kwanini JPM hakumteua mama yako kuwa VP?
 
Mtu kama Samia hana mvuto wowote wa kisiasa,hajui chochote cha uongozi,huo uraisi kaupata kwa bahati mbaya tu coz hakua planned kabisa kuwa hata waziri wa Mambo ya nje au fedha,imetokea tu bahati tu hii hapa na wajeda wakaamua kufuata katiba ya JMT.
Mtu kama huyo eti anakaa kabisa kummbeza hayati Magufuli,anasahau mheshimiwa Magufuli alimteua out of blue,hakuna mtanganyika aliyekua anamfahamu wala.
Eti leo hii mtu kama huyo anajifanya kujibishana na kanisa teule la Mungu.
Wakuu,ningekua mimi ndiye Samia Hassan Suluhu na ukilaza wangu nilionao ningekua nakesha kwenye kaburi la Hayati Magufuli nikiimba na kusujudu kila wakati.
Kwa sababu wewe unamuabudu Magufuli inatosha endelea kumshukuru. Lakini kwa taarifa yako ni NEC ya CCM ndiyo ilipitisha majina yote mawili ba kila jina lilipigiwa kura kwenye karatasi ya kura
 
Ndg, inawezekana umesahau historia ya uteuzi wake. JPM hakuwahi kumtaka kabisa huyu mama (sidhani kama kuna mtu mwenye akili zake timamu, anayeona mbali angeweza kumteua kwenye nafasi ya juu kiasi hicho)
Uteuzi wake ulitokana na hao wanaomshauri sasa! Huo ndio ukweli.
Na hata alisema wazi kwamba hakuwa tayari na alikataa, wakambembeleza akubali! Binafsi sikuwahi kumkubali tangu akiwa makamu, na wala si kwa ubaya bali kuna sababu za msingi kabisa!
Mbona huyo JPM mnaye muabudu naye hakujulikana kumzidi Membe na Lowassa? Acheni mapenzi ya Mungu yatimie. Mungu asipotaka uwe Rais wa Tz utahangaika wee kama Lowassa au Seif Sharrif Hamad
 
Mtu kama Samia hana mvuto wowote wa kisiasa,hajui chochote cha uongozi,huo uraisi kaupata kwa bahati mbaya tu coz hakua planned kabisa kuwa hata waziri wa Mambo ya nje au fedha,imetokea tu bahati tu hii hapa na wajeda wakaamua kufuata katiba ya JMT.
Mtu kama huyo eti anakaa kabisa kummbeza hayati Magufuli,anasahau mheshimiwa Magufuli alimteua out of blue,hakuna mtanganyika aliyekua anamfahamu wala.
Eti leo hii mtu kama huyo anajifanya kujibishana na kanisa teule la Mungu.
Wakuu,ningekua mimi ndiye Samia Hassan Suluhu na ukilaza wangu nilionao ningekua nakesha kwenye kaburi la Hayati Magufuli nikiimba na kusujudu kila wakati.
Uko sahihi kwa 100% ubarikiwe sana!
 
Mtu kama Samia hana mvuto wowote wa kisiasa,hajui chochote cha uongozi,huo uraisi kaupata kwa bahati mbaya tu coz hakua planned kabisa kuwa hata waziri wa Mambo ya nje au fedha,imetokea tu bahati tu hii hapa na wajeda wakaamua kufuata katiba ya JMT.
Mtu kama huyo eti anakaa kabisa kummbeza hayati Magufuli,anasahau mheshimiwa Magufuli alimteua out of blue,hakuna mtanganyika aliyekua anamfahamu wala.
Eti leo hii mtu kama huyo anajifanya kujibishana na kanisa teule la Mungu.
Wakuu,ningekua mimi ndiye Samia Hassan Suluhu na ukilaza wangu nilionao ningekua nakesha kwenye kaburi la Hayati Magufuli nikiimba na kusujudu kila wakati.
Dr Janabi: Haters wa mama Samia hatarini kujifungua kabla ya wakati.
 
Back
Top Bottom