ninaweza kuoa mwanafunzi wangu? nipeni ushauri

alikuwa mwanafunz, so hayo yameshapta. we chukua mzgo utulie.
 
huyo c mwanafunzi wako ni university mate wako bana. Uticha na udent ulikua paaaast
 
Nafahamu mwl. mmoja alioa mwanafunzi wake mara tu baada ya matokeo ya form 4 kutoka na bint kupata div.4,mwingine mwl.yuko chuo sasa ila anaishi na mwanafunzi wake ambaye amemaliza shule akiwa mjamzito na akapata div.4. Case yenu mbona kipindi cha mwl na mwanafunzi kimepita kitambo? Oa tu.
 
naomba ushauri wenu wana jamvi,mi baada ya kumaliza degree yangu kimsingi sikupata kazi katika fani niliyokuwa nimeisomea,so nikawa nafundisha shule fulani hivi ya private ili kujikimu kimaisha,nilifundisha pale kwa miaka miwili,then baada ya hapo nikapata kazi kulingana na fani yangu kwahiyo nikaondoka katika shule hiyo ila kwasasa niko Makerere university nafanya Masters na huku nimekutana na mwanafunzi niliyemfundisha katika shule ile (nilimfundisha form three na four) kwasasa yuko hapa mwaka wa pili,tumeanza urafiki tangu nimefika hapa makerere infact it is going into a serious relationship,kiumri nimemzidi miaka 7 yeye ana 21 mimi nina 28! sasa swali langu ninaweza kuendelea na uhusiano na nikamuoa,tumeshaliongelea hili na yeye ana shida,sasa jamani kuna shida kwa mwalimu kuoa mwanafunzi wake? nipeni ushauri jamani mapema! asanteni

sasa si umeshampiga dudu, we malizia tu, usije ukavunja moyo wa mtu bwana, halafu ukajumuishwa kwenye ile timu ya 'WANAUME WABAYA SANA wakishapata wanachokitaka wanakuacha solemba'
 
Bado tu? mie nilidhani ushapeleka posa ushauri ushapewa wa maana sana fatilia huo
 
Back
Top Bottom