ninaweza kuoa mwanafunzi wangu? nipeni ushauri

Endelea kama una-nia nzuri!

Ingawa nashangaa sana unaomba shuka kumekucha! Mbona hukuomba ushauri kabla ya kuanza uhusiano! yaani ulambe wee alafu ikifika swala la ndoa ndio ujifanye una maadili ya Ualimu! We hatari sana, hata hivyo inaonekana wewe siyo mwalimu wa wito bali ulienda kutafuta ujira kama ulivyosema.

Mi nadhani ndoa ni jambo la heri na baraka huo uhusiano ndio mbaya hasa kama hauta zaa hiyo ndoa.

Nakutakia kila la heri
 
asanteni ndugu wajumbe,kimsingi nimefarijika sana kwa ushauri wenu mzuri na nitayafanyia kazi yoote! mungu awabariki sana
 
Mfano hilo swali ulilotuuliza ungeulizwa ww kwenye mtihani wako wa mwisho wa masters, ungeshinwa kujibu??


Majibu ambayo ungejibu ndo sahihi.
 
naomba ushauri wenu wana jamvi,mi baada ya kumaliza degree yangu kimsingi sikupata kazi katika fani niliyokuwa nimeisomea,so nikawa nafundisha shule fulani hivi ya private ili kujikimu kimaisha,nilifundisha pale kwa miaka miwili,then baada ya hapo nikapata kazi kulingana na fani yangu kwahiyo nikaondoka katika shule hiyo ila kwasasa niko Makerere university nafanya Masters na huku nimekutana na mwanafunzi niliyemfundisha katika shule ile (nilimfundisha form three na four) kwasasa yuko hapa mwaka wa pili,tumeanza urafiki tangu nimefika hapa makerere infact it is going into a serious relationship,kiumri nimemzidi miaka 7 yeye ana 21 mimi nina 28! sasa swali langu ninaweza kuendelea na uhusiano na nikamuoa,tumeshaliongelea hili na yeye ana shida,sasa jamani kuna shida kwa mwalimu kuoa mwanafunzi wake? nipeni ushauri jamani mapema! asanteni

hapo kwenye red, yeye ana shida au ulimaanisha yeye hana shida?
 
Bosi hapo hujatoa swali...maana iko wazi...malizieni hivyo ambavyo tayari mmeshavianzisha. kwani ni ndoa tu unayoulizia, mbona hivyo vingine mmeshavianza? au hivyo unaona ni halali kwa teacer na denti wake?
 
naomba ushauri wenu wana jamvi,mi baada ya kumaliza degree yangu kimsingi sikupata kazi katika fani niliyokuwa nimeisomea,so nikawa nafundisha shule fulani hivi ya private ili kujikimu kimaisha,nilifundisha pale kwa miaka miwili,then baada ya hapo nikapata kazi kulingana na fani yangu kwahiyo nikaondoka katika shule hiyo ila kwasasa niko makerere university nafanya masters na huku nimekutana na mwanafunzi niliyemfundisha katika shule ile (nilimfundisha form three na four) kwasasa yuko hapa mwaka wa pili,tumeanza urafiki tangu nimefika hapa makerere infact it is going into a serious relationship,kiumri nimemzidi miaka 7 yeye ana 21 mimi nina 28! Sasa swali langu ninaweza kuendelea na uhusiano na nikamuoa,tumeshaliongelea hili na yeye ana shida,sasa jamani kuna shida kwa mwalimu kuoa mwanafunzi wake? Nipeni ushauri jamani mapema! Asanteni

magobeli wote unachoomba nini ;??muulize nini akijui akufundishe utajua mistake kuleta hapa uwanafunzi wenu
 
Yes mkuu unaruhusiwa kabisaa na kwasasa si mwanafunzi wako tena you have to treat her as a wife to be. wish U all the best in ur relation. Even dada yangu aliolewa na mwalimu wake wa Secondary na ni baada yakukutana chuoni kama wewe na mwenziyo.
 
Yes mkuu unaruhusiwa kabisaa na kwasasa si mwanafunzi wako tena you have to treat her as a wife to be. wish U all the best in ur relation. Even dada yangu aliolewa na mwalimu wake wa Secondary na ni baada yakukutana chuoni kama wewe na mwenziyo.
thanx pretty
 
Mbona sijaona huo uanafunzi na ualimu hapo? si utuulize tukuambie?? unafundisha class watoto wako uchi tena kwa makusudi...unafikiri utawafanyaje? na ukitoka hapo wanatafuta namba yako, jioni hulali kwa simu!!! Yaani hua natamani kulia...unapoona hivi vitoto vinavyotamani vitu vya ghali na kujiuza....kwa kupenda vitu vya bei ghali
 
Au hukuona ITV jiji letu wiki mbili na ushee zilizopita binti wa kidato cha tatu hapo SINZA TOWER SEC SCHOOL haonekani kwao?? ....nilihuzunishwa na taarifa hizi nikaenda hadi shule kuuliza, nikaambiwa huyo mtoto ni Malaya wa kufa mtu hata mamaake alishaitwa shule kwa ajili hio, hivyo wanaamini kuwa kuna mtu kaenda kuishi nae!! anaitwa FAIDHA MSHANA, PLS Huyu bado ni denti, kama mmeshamaliza kumharibia maisha yake...mwacheni arudi class, naskia wanafungua jumatatu 2-5-2011. msubirini huko vyuoni!!!
 
Mmmmhhhh haya, pengine tunaweza kufika huko tufikapo!! ila kumbukeni hamfundishi watoto bali watu wazima wenzenu.....
 
kuoa mwanafunzi wako no problem ilimradi tu iwe imepita miaka mitatu tangu amalize shule (yaani akiwa not under under u 4 3 yrs) vinginevyo
shukuru k atakwambia ulikuwa na mahusiano naye akiwa mwanafunzi, but kama mvua tatu zimenyesha tangu akiwa c mwanafunzi wako then
oaneni kwa raha zenu
 
kamma umependa sidhani kama kuna shida.ukienda vyuo vyetu vikuu utabaini kwamba ma lecturer wengi tu wameoa wanafunzi wao.naoa na we liendeleze si umependa ?
 
Back
Top Bottom