Ninavyomjua Hemedi Msangi

what goes up must come down.. Goes around come around. Ipo siku yake kabla muda wake haujaisha ktk ulimwengu huu!
 
Wakuu HEmedi baba yake amewahi kuwa rpc Arusha HEMEDI mwenyewe alianzia kazi ya polisi Arusha akaenda kusema diploma ya sheria aliporudi alipelekwa kituo cha Usariver sehemu yenye kituo na vifaa maalum vya kutesea wahalifu. Yeyote anaekamatwa na anatakiwa kuhojiwa aliekwa anapelekewa ni HEMEDI kuna wahalifu wengi wamekufa wakiwa wanahojiwa nae. Huyu jamaa baadae alihamisiwa Morogoro.

Kama info ulizonazo ni hizo tu basi wala humjui!
 
Wakuu HEmedi baba yake amewahi kuwa rpc Arusha HEMEDI mwenyewe alianzia kazi ya polisi Arusha akaenda kusema diploma ya sheria aliporudi alipelekwa kituo cha Usariver sehemu yenye kituo na vifaa maalum vya kutesea wahalifu. Yeyote anaekamatwa na anatakiwa kuhojiwa aliekwa anapelekewa ni HEMEDI kuna wahalifu wengi wamekufa wakiwa wanahojiwa nae. Huyu jamaa baadae alihamisiwa Morogoro.

Bado humjui Hemedi Msangi, hizi ni habari za kuambiwa tu.Tafuta habari vizuri.Habari za kuanzia kazi Arusha na Usa River halafu Morogoro ni sawa lakini tafuta habari zaidi
 
Wakuu HEmedi baba yake amewahi kuwa rpc Arusha HEMEDI mwenyewe alianzia kazi ya polisi Arusha akaenda kusema diploma ya sheria aliporudi alipelekwa kituo cha Usariver sehemu yenye kituo na vifaa maalum vya kutesea wahalifu. Yeyote anaekamatwa na anatakiwa kuhojiwa aliekwa anapelekewa ni HEMEDI kuna wahalifu wengi wamekufa wakiwa wanahojiwa nae. Huyu jamaa baadae alihamisiwa Morogoro.

1.Baba yake amewahi kuwa rpc Arusha
2.Alianzia kazi ya polisi Arusha
3.Kasomea diploma ya sheria
4.Alianza kazi kituo cha Usariver
5.Baadae alihamisiwa Morogoro
Bado haumjui aisee
 
Wakuu HEmedi baba yake amewahi kuwa rpc Arusha HEMEDI mwenyewe alianzia kazi ya polisi Arusha akaenda kusema diploma ya sheria aliporudi alipelekwa kituo cha Usariver sehemu yenye kituo na vifaa maalum vya kutesea wahalifu. Yeyote anaekamatwa na anatakiwa kuhojiwa aliekwa anapelekewa ni HEMEDI kuna wahalifu wengi wamekufa wakiwa wanahojiwa nae. Huyu jamaa baadae alihamisiwa Morogoro.

Mbona hajakamatwa yeye....Kova anatutajia 'Muhindi' wa Nyeri...uzushi mtupu...! Nadhani tunao viongozi wengi wanahitaji kupimwa akili...may be wao ndio Vic**aa!! kuliko huyo 'mkenya wao' waliomwandaa kwa kumkamata eti akatubu...shameless and poor Govt!
 
Naona huyu yuko juu ya sheria..
Haguswi.....!
Watu wanalalama akamatwe wapi?
 
Kova alieleza kilichotokea kuhusu mkenya kwenda kanisani na gwajima ameelezea kuhusu huyo mkenya kwenda kanisani kwake akaongezea maelezo ya kova.
 
Kova alieleza kilichotokea kuhusu mkenya kwenda kanisani na gwajima ameelezea kuhusu huyo mkenya kwenda kanisani kwake akaongezea maelezo ya kova.
 
Tusihukumu,tuchambue maelezo ya kova na ya gwajima,tuache ushabiki wa kijinga.
 
Ni ajabu na ni unafiki kutaka kila mtu afikirie jinsi unavotaka wewe.haiwezekani wote tuwe na mawazo sawa hata siku moja.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom