Ninavyomjua Hemedi Msangi

Ninavyomjua Hemedi Msangi

Jamani tuwe na ubinadam km Mhusika anajulikana si ashughulikiwe yeye,familia yake inahusikaje hapo.Si ajabu huyo demu wake maskn hata hajui mumewe anachokifanya.ahusike mwenyewe pls msifikirie kutesa familia yake
 
Jamani tuwe na ubinadam km Mhusika anajulikana si ashughulikiwe yeye,familia yake inahusikaje hapo.Si ajabu huyo demu wake maskn hata hajui mumewe anachokifanya.ahusike mwenyewe pls msifikirie kutesa familia yake

Yote ni sawa tu kwa familia yake pia kwa sababu "mbwa wa Bosi naye ni Bosi"
 
Huu uzi ni wa muhimu sana. Kwani tunahitaji details za huyu mtu kiundani zaidi.

Je ana watoto na kama anao wanasoma shule gani? Mke wake anaishi Arusha sehemu gani? na shughuli zake ni zipi?

Naomba mwenye majibu ya maswali haya atusaidie tafadhali
 
Ahmed, sisi tulizoea kumwita "Hemed" wakati tulipokuwa watoto. Mimi binafsi namfahamu sana Hemed, alikuwa rafiki yangu wa karibu sana wa utotoni, wakati huo tunaishi Tabora, eneo la Cheyo Road- ilikuwa kati ya miaka ya 1974 na 1976 baadae tulianza shule pamoja, Cheyo Primary School, Tabora. Wakati huo baba yake alikuwa na cheo kikubwa cha polisi pale Tabora (sina kumbukumbu, ila nahisi alikuwa OCD).

By then familia zetu zilikua very close kiasi kwamba siku nilipopata taarifa za kuhusika kwake na issue ya Ulimboka na kumsimulia mama yangu, tulilazimika kukumbuka picha tulizopiga pamoja wakati huo. Hemed ananijua sana, nahisi hata siku akikutana na uzi huu atajua umeandikwa na nani.

Mara ya mwisho nilikutana nae JKT Ruvu mwaka 1989/1990, kama sikosei yeye akiwa E-coy na mimi nikiwa D-coy.
 
Huyu jamaa ni kijana wa miaka kama 42, alipitia jeshini Ruvu miaka ya 1989. Baada ya kumaliza hapo alijiunga na jeshi la polisi, kwenye Jeshi la polisi kapigiwa sana chapuo na marafiki wa baba yake ambaye ni marehemu Zahoro Msangi, ambaye naye alifikia Rank ya Senior Assistant Commissioner Police....
Kwahiyo ni mahili wakupambana na majambazi???........>>>>
 
Tuendelee kuunganisha nukta mpaka mstari utakopopatikana
 
Eeeh! nimemkumbuka Msangi, namjua sana!
Anatumiwa na system kulinda majambazi (EL, RA, AC) na kuua/kutesa raia wema (Dr. Uli)
Jambazi la system..
 
nini jamani maana ya maneneo hayo katika mabano ambayo yana mtumia huyu msangi kuua?(EL, RA, AC)
 
Mh huyu Msangi atakuwa analindwa sana. pamoja na kutajwa live bado hajakamatwa?
 
dalunda Uzi kama huu wa kumfahamu huyu jamaa ulishaletwa hapa jamvini...

... watu walipoanza "kufunguka" na kutoa details za ndani za huyu jamaa pamoja na vielelezo ... mwisho wake naona mods waliufuta ...

.... sasa naona na huu uzi ukichanganya baadae watu wataanza tena kutoa vielelezo & wala hautakuwa na maisha marefu kwani nao utafutwa tu ..
.
 
Jamani tuwe na ubinadam km Mhusika anajulikana si ashughulikiwe yeye,familia yake inahusikaje hapo.Si ajabu huyo demu wake maskn hata hajui mumewe anachokifanya.ahusike mwenyewe pls msifikirie kutesa familia yake
Mm naona ingefaa zaidi kuanza na watoto wake, wang'olewe kucha na kuvunjwa mataya yao, Mke wake wakuchinja na wakatupewe mabwepande. Wazazi wake nitatoa muongozo baadaye nikishawaona, nitawatembelea leo au kesho mchana. Huyu jamaa ni mtu wakaribu kwangu namjua ni mkatili sana.
 
Back
Top Bottom