Ninapendwa mie

Ninapendwa mie

Yule simtakii hata kwa bunduki....
Bazazi mkongwe humu
Aliniambia anataka kunifanyia ukaguzi aiseee ngoja [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
huyo jamaa kajivika bomu la hiroshimaa!!
Mwanamke kama wewe unapata mwanaume mwenye akili zake???
Huyo jamaa akapimwe akili
 
Hii ni zamu yako ngoja ikifika zamu yake na yeye atakuja kuandika apaa et anapendwa sanaaa. Wabongo bhna [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haiii hii kitu nimeshangaa sana ati missed call nikupendwa..!!!!mmh
 
Unapendwa au huaminiki kicheche wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwaio kama haupokei hizo voice call, au haujibu message ndo unapendwa? Huyo jamaa ni bahili amatumia MB kukupigia kwa whatsapp hahahaha
 
Kwaio kama haupokei hizo voice call, au haujibu message ndo unapendwa? Huyo jamaa ni bahili amatumia MB kukupigia kwa whatsapp hahahaha
Nampenda na ubahili wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom