Ninaomba jibu la hesabu yangu hii hapa

10013873_506376419461987_3669225530654129450_n.jpg

Mhhhhhhhhh……
 

Attachments

  • 1402771983096.jpg
    1402771983096.jpg
    59.7 KB · Views: 116
Mkuu usikariri hesabu utapotea...kwenye hesabu kuna base,na hata huko kwenye log pia kuna base..sasa kwa kuwa mtoa swali hajatanabaisha ni base ngapi swali hilo likokotolewe,basi kwa kawaida unakokotoa kwa base ten..kwani nikuuliza 1+1 kwa base two jibu ni ngapi?

ha ha ha ha! siyo wote waniitao bwana bwana watauona ufalme wa Mungu! siyo lazima usome/ujue hesabu, masomo yako mengi! hesabu zina wenyewe!
 
Mkuu usikariri hesabu utapotea...kwenye hesabu kuna base,na hata huko kwenye log pia kuna base..sasa kwa kuwa mtoa swali hajatanabaisha ni base ngapi swali hilo likokotolewe,basi kwa kawaida unakokotoa kwa base ten..kwani nikuuliza 1+1 kwa base two jibu ni ngapi?

Duh!!!!
Nisaidie maana ya base kwenye hesabu mkuu,
maana mimi nilitumia idea za hesabu za form two zangu kuwa nifanye kwenye mabano kwanza,then niyafungue,
nikapata 1,
mweeeeh!!!!
 
Duh!!!!
Nisaidie maana ya base kwenye hesabu mkuu,
maana mimi nilitumia idea za hesabu za form two zangu kuwa nifanye kwenye mabano kwanza,then niyafungue,
nikapata 1,
mweeeeh!!!!
Ni sawa jibu ni moja nlichokuwa nataka tuwekane sawa ni kuwa kuna kitu kinaitwa base siyo tu kwenye log pekee...
 
Mkuu shakazulu kufungua mabano si kujumlisha za ndani pekee, ukifanya hivyo bado hujafungua mabano, kufungua mabano kwa hesabu hii ni lazima uzidishe na ya nje ya mabano km hv; 6/2(3+4) jibu la ndani ambayo ni 7 unaizisha na 2 jibu lake unatumia kuigawanya hiyo 6. Haiitaji kufika drs la 7 kujua hesabu hii.
By Marimba.

Mkuu sio kweli....kanuni ya kwanza ni kufungua mabano ambapo ukishajumlisha unakuwa umefungua vinginevyo unakuwa umekosea kanuni kwa kutangulia kujumlisha kabla ya kufungua mabano
 
Ni sawa jibu ni moja nlichokuwa nataka tuwekane sawa ni kuwa kuna kitu kinaitwa base siyo tu kwenye log pekee...

Yan nimeona argument zako huko juu, bila kutoa msimamo wako nikadhani unajua kumbe hata kujua hujui na wewe jibu ni moja.

Hizo base hapa zinatoka wapi, mbona kuna watu hapa wameeleza vizuri, bado hamuelewi? Tatizo hapa wengi nikujifanya wajuaji wakati hujui.
 
Aisee nimeshangaa sana no wonder wanasema math ni ugonjwa wa taifa.....wanachokosea watu pale wanajumlisha 1 na 2 then 3 inaendelea kuwa kwenye mabano sasa sijui wamefunguaje mabano hapo....

rudi kwa mchepuko wako aisee...
 
Aisee nimeshangaa sana no wonder wanasema math ni ugonjwa wa taifa.....wanachokosea watu pale wanajumlisha 1 na 2 then 3 inaendelea kuwa kwenye mabano sasa sijui wamefunguaje mabano hapo....

Kuna msemo unasema if u cant convince them, confuse them, tutaanza kuwa confuse hapa ili mpotee kabisa.

Maana tukianza kueleza kwa misingi ya kihesabu, msiojua mtapotea.

Kuna jamaa kawashauri kama hujui hesabu tafuta excel ingiza hesabu utapata jibu.

Kama hesabu ina makosa itatoa error, sasa wengi labda hamna excel, tumia smartphone yk ingiza hesabu iyo kwa calculator
 
Kuna msemo unasema if u cant convince them, confuse them, tutaanza kuwa confuse hapa ili mpotee kabisa.

Maana tukianza kueleza kwa misingi ya kihesabu, msiojua mtapotea.

Kuna jamaa kawashauri kama hujui hesabu tafuta excel ingiza hesabu utapata jibu.

Kama hesabu ina makosa itatoa error, sasa wengi labda hamna excel, tumia smartphone yk ingiza hesabu iyo kwa calculator

Aisee kumbe hata wewe unashabikia jibu la moja?? Mi nlijua tupo kwenye tisa wote....ntamshitaki mwalimu wangu wa hesabu kama hesabu hiyo jibu ni moja
 
Ngoja tunaojua haya makitu ya namba tuwadadavulie maana wengi mnachanganya sana mambo.....na huo ndio muelekeo wa elimu yetu hadi mnaletewa div 5 sasa.

Kwa wale wanaosema jibu ni 9, wanakosea kuifananisha hiyo hesabu na hii hapa;

6/2(1+2) >>>> (6/2)(1+2) >>> 3x3=9

Wanaosema jibu ni 1; wanafanya hiyo hesabu sawa na hivi:

6/2(1+2) >>>> 6/{2(1+2)} >>> 6/(2x3) >>> 6/6=1

Kwasisi Mathematicians, hiyo hesabu ni sawa na kusema;

chukua 6, igawanye kwa mara 2 ya 1 kujumlisha 2:

Ambayo kwa kutumia maneno hayo; 1 jumlisha 2 ni 3, kisha zidisha mara 2 ni 6.

Kwahiyo tukirudi kwenye swali letu ni sawa na kusema;
chukua 6 igawanye kwa 6, jibu itakua 1:

Kimahesabu yenyewe sasa ni hivi;

6/2(1+2); ukitumia MAGAZIJUTO ni sawa kusema;
6/...2x...1+2 >>> 6/...2x3 >>>> 6/6=1.

Mpoooo???!!!
 
Back
Top Bottom