Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,230
Ukikopa Bank 20M kwa riba 16% kwa muda wa miaka 9(miezi 108) unalipa 37,854,541.16, kwa ufupi ni kama M38 hivi,(KAUSHA DAMU P2)
Hii ni kutokana na kikokotoo cha loan calculator,
Sasa nataka nijue hii kimahesabu inakujaje?
Maana wao automatic tuu wanakuletea hivyo.
Hata ukijaribu ile hesabu ya kawaida ya
I = PRT/100,
Hupati hilo jibu..
Mikopo ni Janga.
Nikope 20M nipate 17M, nirudishe 38M?
Hii ni kutokana na kikokotoo cha loan calculator,
Sasa nataka nijue hii kimahesabu inakujaje?
Maana wao automatic tuu wanakuletea hivyo.
Hata ukijaribu ile hesabu ya kawaida ya
I = PRT/100,
Hupati hilo jibu..
Mikopo ni Janga.
Nikope 20M nipate 17M, nirudishe 38M?