Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Labda upo jikoni unamenya vitunguu.....!!Vp wewe hujawahi kulia halafu ukashangaa nini kinakuliza
Labda upo jikoni unamenya vitunguu.....!!Vp wewe hujawahi kulia halafu ukashangaa nini kinakuliza
Vp wewe hujawahi kulia halafu ukashangaa nini kinakuliza
Kwani mwanaume ndo haliagi au?
Mmeanzalini na nyie kulia jamani
it's a taboo.
Ndo maana mvua hainyeshi
ndo maana barafu ya mlima kilimanjaro inayeyuka
ndo kisa cha mafuriko
ndo mwanzo wa ajali
men dont cry! Macho huwa mekundu tu lakini machozi hapana.
Ahsante mama inabidi nifanye hivyo, mimi ninaomba japo nikusalimie ''habari yako mama''
Vp wewe hujawahi kulia halafu ukashangaa nini kinakuliza
Mkuu mbona wanatisha sasa umenifanya nianze kuwa na wasiwasi
vyovyote utakavyotaka,MxUnanipakata kivipi kijuujuu au kichinichini?
Kongosho ni macho yapi mengine unayajua zaidi ya haya mawili?
Nikilia huwa najuwa kinachoniliza.
Ukikuwa utaacha.
Usi "confuse" kutokwa na machozi na kulia. Unaweza ukalia bila kutokwa machozi na unaweza ukatokwa machozi bila kulia.
Ingekuwa vema maana nakosa mtu wakunifuta machozi