COURTESY
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 2,006
- 706
Niambie kwanza gender yako ili nisije nikakaa juu ya tofari
c ndo utaacha kulia
Niambie kwanza gender yako ili nisije nikakaa juu ya tofari
Naona bado kwa sababu najaribu kuvuta kumbukumbu zangu ili nijue nini kinaniliza
sasa kipi hapo kilishawahi kukotokea embu naomba unidadavulie
Si unajua tena kiswahili chetu tulichojiundia
Unanipakata kivipi kijuujuu au kichinichini?
Around 28-32 vp hapa umri unamatter au?
Ujue ukilia unaweza kupoteza network ukajikuta unasahau kila kitu