nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Kila la kheri matusi huko hayaruhusiwi
Mkuu Mwigulu Mchemba,
Kwanza hongera kwa ujasiri na kujitoa kwenda JKT ambayo naamini itakusaidia sana ku inject true sense in your little brain!. Mtu akiisoma CV yako, iko very impressive, inaonyesha you are a bright na brilliant young man, ila akikusikiliza when you talk shit!, you real looks like shit, and that puts me off!.
Hivyo sasa tumia fursa hii ya JKT, to learn humility ambayo ita inject a little sense in your little brain that has been missing all along na kuwa not little brain anymore but a big brain!, na ukitoka utajikuta sio tuu umebadilika, bali utaisaidia vizuri zaidi CCM sio tuu kushinda kwa kishindo uchaguzi wa 2015, bali pia CCM kushinda kwa haki!.
All the best!.
Pasco (wa jf).
Wana JF, salam!
Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.
Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.
Kwanza nikukumbushe kuwa wewe siyo kijana, PILI nenda JKT labda utaweza kufumbuliwa macho upate uzalendo ndo ufahamu kuwa CCM ni chama kisichotufaa hata kidogo ktk nchi hii na chapaswa kufutwa ktk ramani ya siasa. TATU labda utajifunza kuongea kwa hoja badala kutukana matusi yalokujaa mdomoni.
Lakini kubwa kuliko yote ni kuwa JASIRI HAACHI ASILI. Utabaki yule yule kwani mbwa mzee hawezi kufundishwa mbinu mpya!
Barua imeonesha muda wa kuanza tu ila najua sio mwaka mmoja ni kipindi kisichopungua wiki tatu wala si zaidi ya miezi mitatu
Wana JF, salam!
Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.
Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.
Mwigulu Nchemba
Ila punguza chuki na wale unaotofautiana nao kisiasa.
Siasa zako ni za chuki sana ni hatali kwa usitawi wa taifa letu, na huwa unashangaza kutwa kujivika skafu ya taifa ila unakuwa na roho mbaya kwa wtz wenzako kisa vyama.
Badilika lejea siasa zako za igunga na arumelu kuna watz wenzetu wamepoteza maisha huwa unajisikiaje?
wale walikuwa wanategemewa na w atu wangapi nyuma yao? We unakula bata tu leo unajifanya bonge la mzalendo.
Wana JF, salam!
Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.
Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.
Ila ukumbuke kwamba huko huwa hakuna hayo mambo yenu ya fitna kaka , Ni kurushwa Kichura tu kwa kwenda Mbele ! Usisahau ile Skafu yako mkuu .
Umenikumbusha mbali sana,wiki 52 (mwaka) si mchezo. Na ile miezi sita ya mwanzo mawasiliano ya ubongo na viungo vya siri huwa yanakatika kabisa hata uone nini hushtuki.Huo ni MGAMBO na sio JKT........OMBA UPIGE MWAKA UTAKUWA MZALENDO MZURI KAMA SISI......na urudi umepauka kama sisi
![]()
Umenikumbusha mbali sana,wiki 52 (mwaka) si mchezo. Na ile miezi sita ya mwanzo mawasiliano ya ubongo na viungo vya siri huwa yanakatika kabisa hata uone nini hushtuki.
Wana JF, salam!
Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.
Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.
Ni kweli wanakwenda kujifunza mgambo na kuvimaliza visichana vilivyomaliza kidato cha sita mwaka huu kwa posho na mishahara yao ya kibunge. Ikiwezekana mkuu wa JKT awatengee kambi yao wenyewe watalii hawa wa ndani.Huo ni MGAMBO na sio JKT........OMBA UPIGE MWAKA UTAKUWA MZALENDO MZURI KAMA SISI......na urudi umepauka kama sisi
![]()