ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,950
- 6,981
Hongera mkuu kwa kwenda mafunzoni kwa mujibu wa sheria.
kamaliza cha sita?
Hongera mkuu kwa kwenda mafunzoni kwa mujibu wa sheria.
Hata UKURUTA atakuwa hajamaliza! Kwa nini sheria za NCHI zinachezewa hivi? Tena eti wameandikiwa barua kwenda JKT badala ya kwenda kwa mujibu wa sheria!Imagine jama anaenda kwa wiki tatu kama sio utani na dharau ni nini? Three weeks atapewa "uchele" huyu?
Uzalendo sio kuvaa bendera ya taifa mwigulu labda ukienda hayo mafunzo unaweza kuongeza upeo wako wa kufikiri na utaacha kutumikia wezi na mafisadi wa nchi hii.kwa sasa bado huna uzalendo kwani unajua nchii ipo wapi akina nani wakulaumiwa na bado unajifanya hujui.kila la kheri.
Wake za watu sasa huko uendako
umeandaa faini za kutosha kama igunga?
Rows hujuma gani hiyo tuache kujumuisha wary kwa chuki binafsiNatumai utarudi ukiwa 'mzalendo' wa kweli kwa nchi yako, maana unafiki wako wa kuvaa skafu ya bendera ya Taifa wakati unalihujumu unanichefua kweli! Kila la heri...
Wana JF, salam!
Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.
Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.
Hongera bw Lameck, ushauri wangu kwako japo cku za nyuma niliwahi kukwambia cpendezwi na aina ya saisa uzifanyazo, naamini ulijaribu kutafakari na kuona mapungufu fulani ktk siasa zako sasa nakushauri kupitia hiyo fulsa hadhimu jaribu kubadilika na kuwa mzalendo wa kweli wa nchi na c wachama pambana kuitetea nchi chukia ufisadi ambao chama chako ndio kimekuwa mama wa ufisadi epuka kupinga hoja za zamsingi na za kweli eti kwakuwa zimetolewa na upinzani hasa chadema na NCCR.tanguliza maslahi ya nchi na wananchi na c ya chama ambacho kwa hakika unatambua mapungufu madhambi na madhahifu yake.mwisho kama kweli umed dhamiria mafunzo ya JKT yatakufanya uwe c mwigulu yule wa siasa za chuki ghiriba matusi na dharau bali mwigulu mwenye siasa za kuheshimaiana kujenga hoja kuvumilia na kutetea nchi kwa maslai ya wote,asante na nakutakia mafunzo mema Mungu awakulinde na kuwatunza wewe na wote mtakaohudhuria mafunzo hayo.
Barua imeonesha muda wa kuanza tu ila najua sio mwaka mmoja ni kipindi kisichopungua wiki tatu wala si zaidi ya miezi mitatu
Yeye si kamanda, ni gamba!Haya bwana kila la kheri 'Kamanda', hope utarudi salama.