Mkuu Mwigulu Mchemba,
Kwanza hongera kwa ujasiri na kujitoa kwenda JKT ambayo naamini itakusaidia sana ku inject true sense in your little brain!. Mtu akiisoma CV yako, iko very impressive, inaonyesha you are a bright na brilliant young man, ila akikusikiliza when you talk shit!, you real looks like shit, and that puts me off!.
Hivyo sasa tumia fursa hii ya JKT, to learn humility ambayo ita inject a little sense in your little brain that has been missing all along na kuwa not little brain anymore but a big brain!, na ukitoka utajikuta sio tuu umebadilika, bali utaisaidia vizuri zaidi CCM sio tuu kushinda kwa kishindo uchaguzi wa 2015, bali pia CCM kushinda kwa haki!.
All the best!.
Pasco (wa jf).