orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 3,171
- 5,506
everything in the universe change,nothing is permanentThank you....I'll forever remain humble.
everything in the universe change,nothing is permanentThank you....I'll forever remain humble.
everything in the universe change,nothing is permanent
uuuwih usimwachie Mungu!!!Umenitenga sana. Sijui nimwachie Mungu?
Afadhali, maana wote alionipa baba sitampoteza hata mmojauuuwih usimwachie Mungu!!!
khaaaaaaa
Halleluuuyaa!Afadhali, maana wote alionipa baba sitampoteza hata mmoja
Wengine tunapendwa tunafichwa fichwa kama sehemu za siri.[emoji16][emoji16]
Hizi ndo dalili za kujua home washanichoka sasa mweeeh.Heaven Sent Douta..Hujawahi kufikiria kutoka na Mentor??..Mana ndo sampuli ya wanaume unaowataka..
Nipo pamoja nawe siku zote, hata ukamilifu wa dahari....!Ni rafiki yangu kipenzi...Nampenda sana!
cc: Heaven Sent
Anafahamu...
Hujawahi kumfikiria upande wa pili??
joanah hebu njoo hapa haraka sana uniambie Spika ametoa kauli gani kuhusu ubatizo wa maji mengi
Huyu anaonekana vile vidate vya kwenye mvua anaviweza..Usichezee bahati DoutaHizi ndo dalili za kujua home washanichoka sasa mweeeh.
Haha mfilipino fulani amazing
Teh teh..Kutoka "Mbwa mkali" hadi "tunauza ice cream"..ShtukaKweli sasa hivi nyumbani kuna kibao cha "tunauza ice cream"
Huyu anaonekana vile vidate vya kwenye mvua anaviweza..Usichezee bahati Douta
Teh teh..Kutoka "Mbwa mkali" hadi "tunauza ice cream"..Shtuka