Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,974
- 95,475
A braza from another motherBenny ndo nani best friend!??
A braza from another motherBenny ndo nani best friend!??
Jamani.. kuna wanaume hawawezi tu malavidavi ya hivyoAcha tuu, pengine nipo mwenyewe lakini sina hadhi ya kusifiwa hadharani.
Kwa wewe namuaminia shem wangu ila chunga Mangi huyo. Hakikisha unachuma na vya nyumbani usije kuwa kama Mrs. Machache, mali ya mwingine jamii nzima inagombania!!Kaka hadi wewe?
Hahaha yashakua hayo, sweet mangii mbona ananiandikiaga sana jameniMpendwa mi nilikuwa nakutetea now naonekana mbaya?..Ujue bila mm hata hili shairi lisingeandikwa
Kama ww unavyowadanganya wenzioMsimu wa baridi huu karibia Nchi zote ukanda wa Kusini. Kwa hiyo tudanganyane vizuri eeh
Jamani. Nimemdanganya nani tena miss cheupe?Kama ww unavyowadanganya wenzio
Haya bana..Siku nyingine hata nimkute juu ya kifua sikushtui..Hahaha yashakua hayo, sweet mangii mbona ananiandikiaga sana jameni
Juu ya kifua?!!!Hahaha itakua mmemuedit Mentor wanguHaya bana..Siku nyingine hata nimkute juu ya kifua sikushtui..
Mpaka nilie lie ndiyo unakuja kuniweka hadharani kweli?Nakufichaje sasa,
I love you dark angel
Baby wachawi ni wengi,Mpaka nilie lie ndiyo unakuja kuniweka hadharani kweli?
Nakupenda Mangi
Hii imefuta hadi stress za mshahara kuchelewa.Baby wachawi ni wengi,
wivu ninao pia,
Naogopa kuyaweka wazi, naogopa kuibiwaa,
Kifua cha kuvumilia maumivu sina, acha nibakize mengi moyoni,
Lkn kwa leo, yatosha kusema Nakupenda,
Mimi na wewe, leo, kesho na hata milele...
Hii imefuta hadi stress za mshahara kuchelewa.
Sasa sweetheart ungeniambia basi kwamba haunitaji kunisifia hadharani kwa sababu unaogopa kuibiwa. Sasa hapa moyo umetulia.
Ngoja nikuandalie dinner ya nguvu.
Jambazi.Bro hili shairi mi ningelikatakata niwatumie watoto hata 5..Mistari yote hiyo kwa msichana mmoja???..
Huu ushairi ni hatari kwa wake za watu..Naomba Khantwe hasipite huku..
Wengine tunapendwa tunafichwa fichwa kama sehemu za siri.
MimiNani asiyependa kuona mpenzi wake anajivunia hadharani jamani?
Unanichanganya ujueJambazi.
Changanyikiwa tu.Unanichanganya ujue