Ninakupenda(I Love YOU)

Mpaka nilie lie ndiyo unakuja kuniweka hadharani kweli?
Nakupenda Mangi
Baby wachawi ni wengi,
wivu ninao pia,

Naogopa kuyaweka wazi, naogopa kuibiwaa,

Kifua cha kuvumilia maumivu sina, acha nibakize mengi moyoni,

Lkn kwa leo, yatosha kusema Nakupenda,

Mimi na wewe, leo, kesho na hata milele...
 
Baby wachawi ni wengi,
wivu ninao pia,

Naogopa kuyaweka wazi, naogopa kuibiwaa,

Kifua cha kuvumilia maumivu sina, acha nibakize mengi moyoni,

Lkn kwa leo, yatosha kusema Nakupenda,

Mimi na wewe, leo, kesho na hata milele...
Hii imefuta hadi stress za mshahara kuchelewa.
Sasa sweetheart ungeniambia basi kwamba haunitaji kunisifia hadharani kwa sababu unaogopa kuibiwa. Sasa hapa moyo umetulia.
Ngoja nikuandalie dinner ya nguvu.
 
Bro hili shairi mi ningelikatakata niwatumie watoto hata 5..Mistari yote hiyo kwa msichana mmoja???..

Huu ushairi ni hatari kwa wake za watu..Naomba Khantwe hasipite huku..
Jambazi.
 
Back
Top Bottom