Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,103
- 8,336
haahaaaha hajui vigezo ili uitwe msomi ni marufuku kuishabikia CCM maana ukiwa huko hata kama una PhD ni sawa na bure mfano yule profesa wa majalala aliyeenda Antananarivo Madagascara kwa dj Andy Rajoelina kuchukua juisi ya pilipili kichaa na kuiita covid vaccine!Hii tabia ya kujiita msomi imemkera mzee jobo pale jengo tukufu Dodoma 😅 naona vijana hamtaki kuacha
😁😁😁