johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Yule alikuwa anavaa shati jeupe na kofia kama Bob Mazishi!!Unamkumbuka Mwikila
Yule alikuwa anavaa shati jeupe na kofia kama Bob Mazishi!!Unamkumbuka Mwikila
Professor Anna TibaiganaTutajie professor mmoja ambae ni askari polisi
Hata mbwa naamini wanahitaji kuongozwa na mtu mwenye utulivu wa ubongo.Kwanza yeye mwenyewe ana kasura ka kigaidi kabisa kichwani hewa kabisa RPC mzima haelewi maelezo ya kwenye charge sheet ndio ushahidi wake uwe adduced mahakamani huyu atolewe hapo kinondoni akasimamie kikosi Cha mbwa.
Professor Anna Tibaigana
yule hata umfafanulie hakuelewi pale alipo hana ubongo au hujui ukishafika pale Lumumba unatolewa ubongo na kuhifadhiwa kwenye cold roomHahahahahahah inabidi afafanuliwe mzee jobo
hapo unapata picha kwanini yule kamanda wao nae yuko vile!!!Matumizi makubwa ya nguvu kwa jeshi la polisi yanatokana na uwwezo wao mdogo. Sasa kama RPC ndio anaongea ule utoto, hao anaowaongoza ni wajinga kiasi gani?
Ndio maana watawala inakuwa rahisi kuwaagiza polisi kutenda nje ya sheria, kwani wengi ni wajinga na hawana uwezo wa kuhoji, bali kutii kila kitu ili wapate upendeleo wa kupanda vyeo wajitajirishe kwa rushwa.
dr zenyewe si ndio hizi za akina mwigulu!!au dr gani??Hata mimi sijui sijawahi ona professor polisi au Dr polisi!!?
Nilimfundisha kupiga kwata na kuweka mguu kwa kapani.😂😂😂😂😂Ulikua naye intake moja?
Alafu jaji akamkumbusha kwamba ukimaliza kukojoa urudi.Huyu si ndio aliomba poo ili akakojoe alipobanwa na wakili Kibatala?
Kwani kwenye tasnia yao kuna hizo ngazi zakufika huko? Muwatendee haki watu...Unachokiongelea hakiendani na mazingira yaoHata mimi sijui sijawahi ona professor polisi au Dr polisi!!?
Angekunya kizimbani nyambaf , jitu limepata zero eti kamanda wa sijui mkoa crapHahahahaaa alijua mahakama ni kama baraza la Lumumba kada wa mataga
Policcm hakuamini kilichomkuta
Shikamooo wakili msomi Kibatala
Na hapo angekuwepo Tundu Lissu
Hakika hiyo combination ingekua hatari kama atomic bomb kule Hiroshima!
😁😁😁😁
Unataka kuniambia Tanzania Kuna polisi mwenye master's degree?Hivi kusoma Korogwe TTC unaweza kumuweka kwenye list ya wasomi?? Kwa faida yako, kuna graduates wa University wenye first degrees na hata Master's degrees ndani ya jeshi la polisi na hata majeshi mengine. Lakini kutoa mfano wa TTC kwamba ni msomi, hiyo ni level ndogo mkuu.
Kingai ni RCO wa taifa yaani yuko amesajiriwa arusha lakini anafanya kazi tz yote ni omnipresenceShahidi namba moja kwenye kesi ya ugaidi inayomuhusu Freeman Mbowe na wenzake, RPC Kingai umetuabisha kwa kuchanganya Maelezo yako huku ukiongozwa na wakili wako wa serikali
Je, RPC Kingai hukufahamu kuchanganya Maelezo yako utawafanya mashahidi wanaofuata washindwe wasimamie kitu gani habari za madawa ya kulevya au ugaidi?
Je, RPC Kingai hukufahamu wewe ulitangulizwa mbele ili uonyeshe uwezo wako wa kujenga hoja kama unavyojitanabaisha?
Je, RPC Kingai hukufahamu ushahidi unatolewa kwa kufuata hati ya mashtaka? Kwa uzoefu wako hukujua mahakamani ni moja ya sehemu ngumu sana, Hati ya mashtaka inaelezea ugaidi wewe unaongelea dawa za kulevya?
Je, RPC Kingai hukufahamu kukariri mambo kuna wenyewe, Ni watu wachache wenye uwezo wa kukariri mambo kwa dakika 15 bila kukosea ukiwaambia warudie walichokisema
Je? RPC Kingai hukufahamu kila jambo mahakamani unalotamka linahitaji kifungu cha sheria au maamuzi ya kesi zilizoamuliwa zamani na sio maneno matupu ya kukariri?
Je, RPC Kingai hukujua Sheria ni taaluma sio nguvu na mikwara inayotumika kuhoji watuhumiwa polisi?
Watu wengi wamehoji uwezo wa Polisi hasa wenye vyeo vya juu kusimama mahakamani na kujibu hoja za mawakili wasomi, Mara nyingi Polisi kwa uzoefu wamejiabisha mahakamani aidha kwa kukaa kimya au kujibu Sijui kila kitu
Tunasubiri Maelezo ya RPC Kingai yatakapotumika kumuuliza maswali Yeye mwenyewe, Hakika Itakuwa aibu kubwa sana
We are still waiting
Unasambaza matango pori lakini mwisho wa siku Mbowe atapatikana na hatia, na atafungwa kwa mjibu wa sheria
Mjibu wa sheria ndio nini afande?Unasambaza matango pori lakini mwisho wa siku Mbowe atapatikana na hatia, na atafungwa kwa mjibu wa sheria
Huwa ana ukichaa huyo.Naye ni nanga.Unapoteza muda tu.😝😝😝😝😝Mjibu wa sheria ndio nini afande?