dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,124
- 49,384
PhD zipo nyingi tu. Tatizo wanatumikishwa sana na wanasiasa. Halafu ni wizara pekee haijawahi kuwa na waziri Dr au Profesa japo chini ya CCM won't make much difference.Hata mimi sijui sijawahi ona professor polisi au Dr polisi!!?