Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Mkuu mpya wa Polisi Mkoani Kigoma, Ramadhan Kingai ameanza vema kazi kwenye Mkoa mpya, kwa kumkamata mtuhumiwa sugu wa madawa ya kulevya, Lije Nicholas na kufanikiwa kumkuta na Tani 1 ya madawa hayo aina ya bangi.
Kingai ambaye amepelekwa Kigoma akitokea Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, alipata umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa kuichambua PGO, ana uzoefu mkubwa wa vita ya dawa za kulevya kutokana na Mkoa aliotoka wa Kinondoni kuongoza kwa Mateja kwenye Ukanda wa Maziwa Makuu.
Kingai ambaye amepelekwa Kigoma akitokea Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, alipata umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa kuichambua PGO, ana uzoefu mkubwa wa vita ya dawa za kulevya kutokana na Mkoa aliotoka wa Kinondoni kuongoza kwa Mateja kwenye Ukanda wa Maziwa Makuu.