Ninakosea wapi? Au biashara ni kipaji?

Ndugu nimeapa mr aliweka mdogo wake alichofanya ku kumimba wadada akiwadanganya yeye ni boss mwisho wa siku hakuna alichoingiza alipata hasara hadi alitaka kupata stroke tena alikua mbion aache kazi sasa baada ya kuona kajikusanya vya kutosha wee sitakaa kusahau ilibidi kama mke nishike usukan nimeshaandaa kombora kwa shem nita mfire hatokaa aamini namlia tyming tu kuhakikisha naelewa everything nikishakusanya kila kitu.
Mtoa mada nakushauri Jambo moja.

Kwenye iyo biashara yako,
Ondoa uyo mfanyakazi.

Weka mkeo,
Kama ujaoa ,oa haraka ili ujipatie cheap labor kwa msimamizi mzuri kabisa wa biashara yako.

NB: ndugu nao sikuhizi Ni magumashi. Niulize kwanini
 
Pesa za mdada yule usharudisha?
 
Ndugu Ni sumu Kabisa
 
Bwana ako ana tabia za kijamaa na kujuana Juana kwenye pesa.

Pesa haihitaji Ayo,

Pesa na kujuana Juana Ni vitu viwili tofaut, Ukileta za kujuana Unapotea fasta kwenye game.
 
Bora wewe. Wenzako tulifilisika tulipokopa pesa na kufungua maduka.
Mtafute mfanyakazi mwingine kisha angalia mapato au siku mbili mfululizo kaa ukihesabu mapato asubuhi mpaka jioni.
Kisha uje unishukuru
 
hapa ni mtaji wa milion 3 mauzo hayafoki elf 20.kwa siku hata muuza.nyanya mtaji wa laki 2 anauza zaidi ya elf 20.huyu hajajiongeza kwanza anatoa mshahara mkubwa pili posho acancel tatu kama ataweza afunge camera ofisini
Analipa kipedeshee Sana,

Kwa mtaji wa mil 3 Kuna vitu Kama printer,photocopier,scanner, lamination,computer.

Vyote hivi vinaupunguza mtaji wake, usikute kinachozungushwa ni mil 1 TU ukiondoa Ayo makorokocho juu
 
Nikipata sehemu kama hiyo dah! nitapiga hela mpaka baasi. Hiyo hela ni nyingi sana sema kinachokuathiri wewe ni mwajiriwa kama ungekuwepo mwenyewe kipato chako kingegonga 2mln. Huyo mdada ndiye anayekuangusha, hataivyo ndivyo ilivyo mambo mengi hana maamuzi nayo mpaka akupigie simu na wakati mwingine simu unapokea ukiwa umechelewa na mteja alishaondoka.
 
Hbarini wafanyabiashara.

Binafsi ni kijana nimeingia 31, ni muajiriwa seikalini shirika flani, Nilikuwa navutiwa sana na ujasriamali hivyo na mimi nikaona nisijivunge.

Kwa Biashara yako angalia
Eneo la biashara je linamzunguko wa kuwezesha biashara yako kuuzika kwa wingi?

Kwa kuwa biashara ni mpya , ungetakiwa uanze nayo wewe mwenyewe au umuweke mke wako lengo ni kuijua biashara yako

Na kama faida ndio hiyo unatakiwa kupunguza matumizi kama mshahara , posho , kodi n.k

Pia biashara zetu hizi huwa kupata faida kubwa sana unabidi ukomae mwenyewe yani ujitafutie wateja wako kwa kuwapa huduma nzuri, wafanyakaz ni wachache wanaoweza kumcare mteja hadi anaridhika

Mwisho kama kuna uwezekano ukachukua likizo ukakomaa kipindi chote cha likizo ili ujue changamoto zinazoikabili biashara yako uweze kuzitatua
 
Mkuu wewe ni muhindi ?
 
Kuna uzi humu Controla katapeli hela za watu kwahiyo kuweni makini.
 
Upo sahihi
 

Mkuu mimi nina hali kama yako ila nakomaa tu mwaka wa 5 huu.
 

Weneyewe wanasema anafungua Duka ndani ya Duka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…