dimple
Senior Member
- Dec 6, 2016
- 100
- 126
Ndugu nimeapa mr aliweka mdogo wake alichofanya ku kumimba wadada akiwadanganya yeye ni boss mwisho wa siku hakuna alichoingiza alipata hasara hadi alitaka kupata stroke tena alikua mbion aache kazi sasa baada ya kuona kajikusanya vya kutosha wee sitakaa kusahau ilibidi kama mke nishike usukan nimeshaandaa kombora kwa shem nita mfire hatokaa aamini namlia tyming tu kuhakikisha naelewa everything nikishakusanya kila kitu.
Mtoa mada nakushauri Jambo moja.
Kwenye iyo biashara yako,
Ondoa uyo mfanyakazi.
Weka mkeo,
Kama ujaoa ,oa haraka ili ujipatie cheap labor kwa msimamizi mzuri kabisa wa biashara yako.
NB: ndugu nao sikuhizi Ni magumashi. Niulize kwanini