Kwitogelo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 310
- 440
Habari wakuu,natumaini mnaendelea vyema na mapumziko ya weekend!
Kuna jamaa ni rafiki yangu ana lodge hapa mjini ya vyumba saba(7). Kwenye hiyo lodge amemweka mdogoake kama msimamizi au manager kwakuwa yeye ni muajiliwa wa serikali hivyo muda mwingi anakuwa kwenye majukum ya kazi yake jambo linamfanya ashindwe kuwa kwenye eneo lake la biashara kila wakati.
Sasa bwana leo tulikuwa mahali tunajadili mambo ya biashara za kufanya,mara akanigusia kuhusu mwenendo wa biashara yake baada ya kutumiwa ujumbe wa ankara ya maji na DAWASCO ya kwenye biashara yake akionesha kusikitishwa na ankara kuwa kubwa yaani bill kuwa kubwa kupita kiasi huku akimtuhum mdogoake kuwa anamuibia sana kiasi cha kuhisi kwamba huwenda alikurupuka kujenga lodge
Nikamuuliza wamekuletea bili ya kiasi gani akanionesha bill ilikuwa inasoma laki moja na elfu saba mia saba sabini(107,770/=) kwa mwezi mmoja. Ikabidi niendelee kumuuliza kuhusu makadilio ya kipato na gharama nyingine za uendeshaji plus kodi za TRA kwasababu huwa ananiambia analipiaga
Akaniambia wastani kwa wiki hukuta hesabu ya 1.2 mil. Inamaana kwamba kwa mwezi ni kama 5.6 mil.
Kwenye hayo makusanyo ya mwezi yeye hulipia bill za maji na TRA tu ikimaanisha kwamba katika hyo 5.6 mil.haihusiani na mshahara wa meneja ambaye ni mdogoa ake,wala mshahara wa watu wa usafi,wala pesa za vifaa vya usafi,wala umeme.
Kwa mchanganuo huo nikaona huyu anataka tu mimi nijue anachopata ili niumie tu kwasababu kwa hesabu za harakaharaka ni kwamba kuna faida kubwa sana hapo anapata.
Tuache kuoneshana misuli ya hela hasa january ngumu kama hii!!!
Kuna jamaa ni rafiki yangu ana lodge hapa mjini ya vyumba saba(7). Kwenye hiyo lodge amemweka mdogoake kama msimamizi au manager kwakuwa yeye ni muajiliwa wa serikali hivyo muda mwingi anakuwa kwenye majukum ya kazi yake jambo linamfanya ashindwe kuwa kwenye eneo lake la biashara kila wakati.
Sasa bwana leo tulikuwa mahali tunajadili mambo ya biashara za kufanya,mara akanigusia kuhusu mwenendo wa biashara yake baada ya kutumiwa ujumbe wa ankara ya maji na DAWASCO ya kwenye biashara yake akionesha kusikitishwa na ankara kuwa kubwa yaani bill kuwa kubwa kupita kiasi huku akimtuhum mdogoake kuwa anamuibia sana kiasi cha kuhisi kwamba huwenda alikurupuka kujenga lodge
Nikamuuliza wamekuletea bili ya kiasi gani akanionesha bill ilikuwa inasoma laki moja na elfu saba mia saba sabini(107,770/=) kwa mwezi mmoja. Ikabidi niendelee kumuuliza kuhusu makadilio ya kipato na gharama nyingine za uendeshaji plus kodi za TRA kwasababu huwa ananiambia analipiaga
Akaniambia wastani kwa wiki hukuta hesabu ya 1.2 mil. Inamaana kwamba kwa mwezi ni kama 5.6 mil.
Kwenye hayo makusanyo ya mwezi yeye hulipia bill za maji na TRA tu ikimaanisha kwamba katika hyo 5.6 mil.haihusiani na mshahara wa meneja ambaye ni mdogoa ake,wala mshahara wa watu wa usafi,wala pesa za vifaa vya usafi,wala umeme.
Kwa mchanganuo huo nikaona huyu anataka tu mimi nijue anachopata ili niumie tu kwasababu kwa hesabu za harakaharaka ni kwamba kuna faida kubwa sana hapo anapata.
Tuache kuoneshana misuli ya hela hasa january ngumu kama hii!!!