Ninajibu maswali kuhusu sheria za kazi kipengele cha kuachishwa kazi

mtu alieachishwa kazi serikalini kwa utoro anaajirika tena? kwa utaratibu upi?
 
Mkuu ukiwa hewani nataka kukuuliza sheria yetu inaitambuaje mikataba ya muda,maana kuna makampuni yanatoa mikataba ya mwaka mwaka ili kukubana usidai haki zako kwa hofu ya kunyimwa mkataba mewingine,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfanyakazi aliyeachishwa kazi zaidi ya mwaka mmoja, na sasa anahitaji kufungua kesi kutokana na unfair termination, anaweza kuanzia wapi? CMA au HC moja kwa moja? Kuna ndugu yangu amekumbwa na hilo janga.
 
Mfanyakazi aliyeachishwa kazi zaidi ya mwaka mmoja, na sasa anahitaji kufungua kesi kutokana na unfair termination, anaweza kuanzia wapi? CMA au HC moja kwa moja? Kuna ndugu yangu amekumbwa na hilo janga.
Sheria inataka kesi zote za labour zianzie cma na kama in unfair termination muda usizidi siku 30 tangu kuachishwa ,muda wowote utakaozidi unabidi uombe kufungua nje ya muda kwa kutoa sababu za msingi kwa kila Sikh uliochelewa .hujaelewa tutafutane pm kwa ushauri WA bure tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mambo mengine kuandika muda hautoshi so ukinipm namba tunawacliana kwa kirefu BT plz free services



Sent using Jamii Forums mobile app
Habari kaka, Mimi ni mwajiriwa kwenye chuo fulani mkoani. Nataka kuacha Kazi nifanye shughuli zangu binafsi maana naona zinanilipa kuliko hii Kazi ninayoifanya. Nahitaji ushauri wako kaka. Je naweza kuandika barua ya kuacha Kazi ndani ya masaa 24? Je vipi kuhusu mafao yangu nipo LAPF, naweza kupata chochote maana nimechangia Kwa miaka sita sasa. Je sheria inasemaje Kwa MTU anayeacha Kazi masaa 24?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari!
Je,kwa mwajiriwa aliyetaka kubadili taasisi kwa kada tofauti na baada ya kuandika barua ya kuomba kazi iliyostahili kuthibitishwa/kupata baraka ya mwajiri wake lakini mwajiri akachelewa kuipitisha mpaka muda wa kuapply ukaisha anaweza kumshitaki mwajiri wake kwa kumnyima haki yake?
Je, kama atashitaki ataishitaki ofisi/taasisi au mtu mwenye mamlaka ya kuitolea maamuzi lakini hakuwajibika kwa uzembe wake tu?
Na kama kuna sababu za kuonyesha mtu huyo haruhusiwi kuhama kwenda taasisi husika je, mwajiri anapaswa kumjulisha mwajiriwa/mfanyakazi wake?
 
Mfanyakazi aliyeachishwa kazi zaidi ya mwaka mmoja, na sasa anahitaji kufungua kesi kutokana na unfair termination, anaweza kuanzia wapi? CMA au HC moja kwa moja? Kuna ndugu yangu amekumbwa na hilo janga.
Brother issue zote za kazi zinaanzia CMA ila utatakiwa utoe sababu kwa affidavit(condonation) kwa nini umechelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari kaka, Mimi ni mwajiriwa kwenye chuo fulani mkoani. Nataka kuacha Kazi nifanye shughuli zangu binafsi maana naona zinanilipa kuliko hii Kazi ninayoifanya. Nahitaji ushauri wako kaka. Je naweza kuandika barua ya kuacha Kazi ndani ya masaa 24? Je vipi kuhusu mafao yangu nipo LAPF, naweza kupata chochote maana nimechangia Kwa miaka sita sasa. Je sheria inasemaje Kwa MTU anayeacha Kazi masaa 24?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiacha Massaa 24 inabidi umlipe mwajiri mshahara wa mwezi mmoja au uache siku 1 kabla ya mshahara kuhusu lapf utapata FAO LA kujitoa but not instantly u consult now kwanza maana kuna kuwa na usumbufu ilinikuta Mimi miez 8 iliyopita so kabla hujaacha nenda lapf angalia statement ya michango yako na ujue vitu gani utavihitaji toka kwa mwajiri coz waajiri wengi ukiwa nje ya kazi hawakupi ushirikiano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Mkuu mimi nimepunguzwa kazini tangia mwezi wa kwanza mwaka huu, aliyekuwa muajiri wangu alinilipa mwezi mmoja tu kama compasation. Je ni halali kulipwa mwezi mmoja tena kwa kulazimishwa?
2. Pia tangia nipunguzwe kuna hela alinikata kwa ajili ya board ya mkopo kwa mshahara wa mwezi wa kwanza ila mpaka leo hajaipeleka, nifanyaje hii hela ipelekwe board?
3. Baada ya redundancy alinilipa mwezi mmoja likizo lakini hii hela ikakatwa kodi na nssfa ila mpaka sasa hajaipeleka nssf, je ni halali kukata hela ya likizo kodi na fao la jamii? Pia hela aliyonilipa alinikata kodi na nssf ila mpaka sasa haijapelekwa je na hili nifanyaje maana muajiri anatamba sana na kuhonga kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Mkuu mimi nimepunguzwa kazini tangia mwezi wa kwanza mwaka huu, aliyekuwa muajiri wangu alinilipa mwezi mmoja tu kama compasation. Je ni halali kulipwa mwezi mmoja tena kwa kulazimishwa?
2. Pia tangia nipunguzwe kuna hela alinikata kwa ajili ya board ya mkopo kwa mshahara wa mwezi wa kwanza ila mpaka leo hajaipeleka, nifanyaje hii hela ipelekwe board?
3. Baada ya redundancy alinilipa mwezi mmoja likizo lakini hii hela ikakatwa kodi na nssfa ila mpaka sasa hajaipeleka nssf, je ni halali kukata hela ya likizo kodi na fao la jamii? Pia hela aliyonilipa alinikata kodi na nssf ila mpaka sasa haijapelekwa je na hili nifanyaje maana muajiri anatamba sana na kuhonga kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshapitisha miezi 8 wakati CMA mwisho ni siku 30 tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom