Ninajibu maswali kuhusu sheria za kazi kipengele cha kuachishwa kazi

Nina zaidi ya Mwaka mmoja, toka nimepokea barua ya kuachishwa kazi na muajiri wangu.

Kutokana na sababu mbalimbali, zikiwemo Kuugua, kufiwa, kuuguliwa, kufanya uhamisho wa Makazi pamoja na uhamisho wa watoto Shuleni, kwenda nje ya Nchi kwa ajili ya Matibabu, hatimae nimetulia, na ninahitaji kufungua shauri/madai kwa muajiri wangu....JE., ni taratibu zipi za kufuata...kutimiza azima/malengo yangu...!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina zaidi ya Mwaka mmoja, toka nimepokea barua ya kuachishwa kazi na muajiri wangu.

Kutokana na sababu mbalimbali, zikiwemo Kuugua, kufiwa, kuuguliwa, kufanya uhamisho wa Makazi pamoja na uhamisho wa watoto Shuleni, kwenda nje ya Nchi kwa ajili ya Matibabu, hatimae nimetulia, na ninahitaji kufungua shauri/madai kwa muajiri wangu....JE., ni taratibu zipi za kufuata...kutimiza azima/malengo yangu...!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umechelewa. Mwisho wa kufungua kesi ni siku 30 tu toka uachishwe kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina zaidi ya Mwaka mmoja, toka nimepokea barua ya kuachishwa kazi na muajiri wangu.

Kutokana na sababu mbalimbali, zikiwemo Kuugua, kufiwa, kuuguliwa, kufanya uhamisho wa Makazi pamoja na uhamisho wa watoto Shuleni, kwenda nje ya Nchi kwa ajili ya Matibabu, hatimae nimetulia, na ninahitaji kufungua shauri/madai kwa muajiri wangu....JE., ni taratibu zipi za kufuata...kutimiza azima/malengo yangu...!?

Sent using Jamii Forums mobile app
niinbox ur number ukireference tatizo
 
Nimesimamishwa kaz 27/6/2016, sikuwepo kazini kwa siku 5 mfululizo,ni serikalini.nilikuwa na sababu za msingi lkn sikutakiwa kueleza popote,tokea tar hiyo sijapokea salary, kila nikiuliza wanasema nisubiri hadi watakapo kaa na kujadili barua yangu ya utetezi,NI miez 15 sasa tokea nisimamishwe kaz na kukosa salary .

Je nifanyeje ili nirudi kazin? Salary yangu ya miez 15 nitaipataje,?
 
Mkuu, ofisi yangu ilitoa muda wa mwaka mmoja kwamba wote ambao wanamalimbikizo ya likizo ni lazima aende likizo ndani ya hicho kipindi. Endapo hataweza kwenda basi malimbikozo hayo hutalipwa. Hii imetokana na tetesi za mwajiri kubadilika, hata hivyo hii amri ya likizo imekuta watu wengi wanamalimbikizo ya likizo kwa miezi zaidi ya 8/9/10 tatizo linakuja kwamba huwezi ruhusiwa unless kuna replacement! Je ni haki kumfutia mtu likizo anazodai baada ya deadline?
 
Tunashukuru kwa michango yako,lakini kama hakutakuwa na nguvu za kushwishi mahakama kusikiliza mashauri ya kazi kwa haraka zaidi haiyasaidia kitu,mtu anakata rufaa mahakama kuu kesi inakaa miaka miwili bila kusikilizwa eti majaji hawana hela za vikao wakati wanalipwa mishahara na posho kibao,mbona mahakimu na waendesha mashitaka wanafanyakazi kila siku pasipo hela za vikao???

Pigania hili kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni termination mkuu fuata taratibu kama hawajakufukuza watakurudisha
 
Naona watu wanalishwa matango mwitu

Mtumishi unayetafta hapa sheria za kazi utakuwa dereva

Ingia utumishi sign in Kwa email neno LA siri weka check namba kila kitu utakikuta huko
 
Wadau,

Nipo jamvini kujibu maswali kuhusu kuachishwa kazi kwa matatizo ya kinidhamu, utendaji, uhitaji wa mwajiri kimajukumu na namna yoyote.

Nakaribisha na wengine kuongeza majibu na maoni yao ili watu waelewe sheria za kazi vizuri.

Habari Mkuu,

Mim nilipewa barua ya changes kwenye mkataba wangu wa kazi sikukubaliana nazo nilkua nahitaji maelekezo zaidi lakini sikuyapata over the yr mwezi wa tatu ndo walinijibu na nikasaini. Lakini wakaniambia malipo yanaanzia date niliyosaini lakin barua inasema tarehe za nyuma. Je kisheria ipojee naweza kufaili kesi kudai maadai yangu kama barua inavoelekezaa.. Asantee.
 
Jamani,,hizi jazba wakati mwingine hazifai huwezi kumsimamisha kazi mtu muhimu Kama Dr unless anatuhuma za kuwapa wagonjwa huduma zilizokinyume na haki za mgonjwa, hawa ni watu muhimu Sana. Nadhani bila kusita Ded kachemsha Sana. Yeye ndie asimamishwe
 
Jamani,,hizi jazba wakati mwingine hazifai huwezi kumsimamisha kazi mtu muhimu Kama Dr unless anatuhuma za kuwapa wagonjwa huduma zilizokinyume na haki za mgonjwa, hawa ni watu muhimu Sana. Nadhani bila kusita Ded kachemsha Sana. Yeye ndie asimamishwe
Kuna upungufu wa madaktari nchi nzima sasa Kama hata walipottutakuwa tunawadhalilisha sisi wagonjwa tutegemee nini kama sio kujifia huku tunajiona??? Kwa hili HAPANA, lazima busara na hekima itumike. Mtu ni uzima, ugonjwa ni dalili ya kifo, sasa ukimsimamisha Dr unahalalisha watu wafe. Hii HAIKUBALIKI. Waziri wa afya chukua hatua kwa mapana ya afya ya wananchi wa Bagamoyo. Mimi si mkazi wa huko lakini ni Mtanzania, Tanzania kwanza na, Tanzania ni ya Watanzania wenye afya kupitia ushauri wa madaktari. Andante.
 
naomba kuuliza swali.

baada ya kuajiriwa kuna kipindi kinaitwa probation.

je ni zipi haki za mfanyakazi anayeachishwa kazi katika hiki kipindi cha probation?

swali jingine ni je,ni baada ya muda gani mfanyakazi anaanza kupata haki zake stahiki tangu kuajiriwa rasmi?
 
Wadau,

Nipo jamvini kujibu maswali kuhusu kuachishwa kazi kwa matatizo ya kinidhamu, utendaji, uhitaji wa mwajiri kimajukumu na namna yoyote.

Nakaribisha na wengine kuongeza majibu na maoni yao ili watu waelewe sheria za kazi vizuri.

MKUU NAOMBA NAMBA YAKO TAFADHALI NIKUPATIE KAZI NZURI
 
Back
Top Bottom