Ninaishi na maumivu

Ninaishi na maumivu

Sikujua kama kuna siku itakuja kuja niishi na maumivu kwa kiasi hiki. Mipango ya Mungu ni Migumu sana sijui hata kwanini kaamua hili.

Mi namuita mtoto wangu, (mtoto wa kaka, kaka ninaemfata kuzaliwa) alifariki july 2025, hakika Mungu kaamua kunipa maumivu.....

Binti yangu huyu alianza kuumwa mwaka jana october, siku ya nyerere day aliamka na uvimbe usoni mama akajua labda kapigana tu na mdogo ake kama kawaida fujo za watoto, siku ya pili uvimbe ukazidi ya tatu uvimbe ni mkubwa hadi umepush jicho nje, wakaenda hospital. Majibu akaaambiwa hawana uhakika ila ni dalili ya cancer (walimficha tu ila walijua ukweli) binti yangu kaanza matibabu na akakaa sawa. Ikawa aje ocean road kuja kuanza chemotherapy.

22 june nikamfanyia booking ya sgr aje kwa ajili ya matibabu, hiyo siku nikaenda kumpokea anatembea mwenyewe anaongea na simu kuwajulisha siblings kuwa kafika nlifurahi kumuona. Tukaanza utaratibu wa hospital, kujisajiri nk.

27 June ilikua birthday yake akitimiza miaka 6 japo ni siku tumetoka hospital ila tuliamua akate keki tule...View attachment 3466019

Ijumaa birthday, jpili hali yake ilibadilika akaanza kutapika usiku jtatu tukaenda muhimbili emergency....tumemuuguza july 16 akafariki mwanangu.

NIMESHINDWA KUPONA 😭😭😭
Pumzika kwa amani mwanangu, Mungu nilimuomba sana anihurumie kwa ajili yako ikashindikana. Nina maumivu sana.
Pole sana; always a happy soul here Mungu akutie nguvu please❤️❤️
 
Sikujua kama kuna siku itakuja kuja niishi na maumivu kwa kiasi hiki. Mipango ya Mungu ni Migumu sana sijui hata kwanini kaamua hili.

Mi namuita mtoto wangu, (mtoto wa kaka, kaka ninaemfata kuzaliwa) alifariki july 2025, hakika Mungu kaamua kunipa maumivu.....

Binti yangu huyu alianza kuumwa mwaka jana october, siku ya nyerere day aliamka na uvimbe usoni mama akajua labda kapigana tu na mdogo ake kama kawaida fujo za watoto, siku ya pili uvimbe ukazidi ya tatu uvimbe ni mkubwa hadi umepush jicho nje, wakaenda hospital. Majibu akaaambiwa hawana uhakika ila ni dalili ya cancer (walimficha tu ila walijua ukweli) binti yangu kaanza matibabu na akakaa sawa. Ikawa aje ocean road kuja kuanza chemotherapy.

22 june nikamfanyia booking ya sgr aje kwa ajili ya matibabu, hiyo siku nikaenda kumpokea anatembea mwenyewe anaongea na simu kuwajulisha siblings kuwa kafika nlifurahi kumuona. Tukaanza utaratibu wa hospital, kujisajiri nk.

27 June ilikua birthday yake akitimiza miaka 6 japo ni siku tumetoka hospital ila tuliamua akate keki tule...View attachment 3466019

Ijumaa birthday, jpili hali yake ilibadilika akaanza kutapika usiku jtatu tukaenda muhimbili emergency....tumemuuguza july 16 akafariki mwanangu.

NIMESHINDWA KUPONA 😭😭😭
Pumzika kwa amani mwanangu, Mungu nilimuomba sana anihurumie kwa ajili yako ikashindikana. Nina maumivu sana.
Pole sana Eve, utapona tatatibu na maumivu yatapungua kadri muda unavyoenda.

Tunamshukuru Mungu kwa maisha ya Mirabel, aendelee kupumzika kwa amani 🙏🏽💔
 
Mimi pia naugulia kimoyo moyo juu yako To yeye. Maumivu haya niliyonayo sijui yatapona na nini, kiukweli nakupenda sana To yeye. 😭😭😭Mtaniwia radhi kutongoza msibani, misiba inamengi na siyo kila anaelia anamlilia marehemu. Wengine tunamaumivu yetu😭😭😭
😭 Ngoja nikutag kwenye Uzi wa mambo asiyopenda kufanyiwa mwanaume....then urudi tena kulialia msibani hapo.Naomba umpe pole huyu dada tafadhali
 
Mimi pia naugulia kimoyo moyo juu yako To yeye. Maumivu haya niliyonayo sijui yatapona na nini, kiukweli nakupenda sana To yeye. 😭😭😭Mtaniwia radhi kutongoza msibani, misiba inamengi na siyo kila anaelia anamlilia marehemu. Wengine tunamaumivu yetu😭😭😭
Hadi nimecheka, thanks.....😃
 
One thing which am sure Mirabel wanted you to be happy

We believe that watu waliotangulia katika Bwana wapo pamoja nasi kiroho... Imagine Mirabel akija kukusalimia anakukuta katika huzuni utamfanya hata yeye huko alipo ahuzunike pia

Hii ni iman yangu naamini hivyo...

Mtoto wa miaka sita ni malaika hata dhambi bado hajazijua ni pure Angel... Na Amerudi kwa malaika wenzake.. kazikimbia tabu za dunia na dhiki amini hivyo

Naamini utalud kuwa sawaa Mungu akusaidie kipind hiki kigumu

Amen
images (1).jpeg
 
Mimi pia naugulia kimoyo moyo juu yako To yeye. Maumivu haya niliyonayo sijui yatapona na nini, kiukweli nakupenda sana To yeye. 😭😭😭Mtaniwia radhi kutongoza msibani, misiba inamengi na siyo kila anaelia anamlilia marehemu. Wengine tunamaumivu yetu😭😭😭
Dunia simama tushuke huku unakotupeleka siko😃😃😃
 
One thing which am sure Mirabel wanted you to be happy

We believe that watu waliotangulia katika Bwana wapo pamoja nasi kiroho... Imagine Mirabel akija kukusalimia anakukuta katika huzuni utamfanya hata yeye huko alipo ahuzunike pia

Hii ni iman yangu naamini hivyo...

Mtoto wa miaka sita ni malaika hata dhambi bado hajazijua ni pure Angel... Na Amerudi kwa malaika wenzake.. kazikimbia tabu za dunia na dhiki amini hivyo

Naamini utalud kuwa sawaa Mungu akusaidie kipind hiki kigumu

Amen
View attachment 3466065
Amen, ninashukuru
 
Evelyn Salt hakuna maneno ya faraja ambayo utamwambia mfiwa na akaweza kukuelewa...

Lakini binafsi kitu pekee kimeweza nisaidia kutokuishi na uchungu, ni kukubali kuwa kifo kipo na kipo nasi kama kivuli...

Wanadamu tunaozaliwa na mwanamke, hatuna budi kujua ya kwamba kufa kupo na kunahusu walio hai...
 
Back
Top Bottom