Ninaishi na maumivu

Ninaishi na maumivu

Soo sad yani …inauma sana kupoteza mtoto mdogo kama huyu..hili jambo ndilo huwa linanifikirisha sana…why why Mungu ana ruhusu haya maumivu? Mbona hawa wenzetu waliishi miaka mingi tuu na pamoja kuwa na maovu?
Angali kizazi cha Adam pamoja na kuhasi lakini miaka walio ishi ilikuwa mingi wengi wao hawakufa wakiwa wadogo hivi why?


„And Seth was a hundred and five years old when he became the father of Enosh:--Genesis 5:6”

Pole sana Mwl Evelyn Salt maumivu uliyonayo hakuna wa kuyabeba ni muda pekee utayaponya na utapoa…inauma sana sana ! Mungu ni mwema kila wakati pamoja na maumivu…
Poleeeee😭😭😭😭😭
Nashukuru sana, 😢😢 angemchukua hata akiwa tumboni.....miaka sita tu ya maisha yake, kaamua kutupa furaha ya muda mfupi na maumivu ya muda mrefu yasioisha.
 
Sikujua kama kuna siku itakuja kuja niishi na maumivu kwa kiasi hiki. Mipango ya Mungu ni Migumu sana sijui hata kwanini kaamua hili.

Mi namuita mtoto wangu, (mtoto wa kaka, kaka ninaemfata kuzaliwa) alifariki july 2025, hakika Mungu kaamua kunipa maumivu.....

Binti yangu huyu alianza kuumwa mwaka jana october, siku ya nyerere day aliamka na uvimbe usoni mama akajua labda kapigana tu na mdogo ake kama kawaida fujo za watoto, siku ya pili uvimbe ukazidi ya tatu uvimbe ni mkubwa hadi umepush jicho nje, wakaenda hospital. Majibu akaaambiwa hawana uhakika ila ni dalili ya cancer (walimficha tu ila walijua ukweli) binti yangu kaanza matibabu na akakaa sawa. Ikawa aje ocean road kuja kuanza chemotherapy.

22 june nikamfanyia booking ya sgr aje kwa ajili ya matibabu, hiyo siku nikaenda kumpokea anatembea mwenyewe anaongea na simu kuwajulisha siblings kuwa kafika nlifurahi kumuona. Tukaanza utaratibu wa hospital, kujisajiri nk.

27 June ilikua birthday yake akitimiza miaka 6 japo ni siku tumetoka hospital ila tuliamua akate keki tule...View attachment 3466019

Ijumaa birthday, jpili hali yake ilibadilika akaanza kutapika usiku jtatu tukaenda muhimbili emergency....tumemuuguza july 16 akafariki mwanangu.

NIMESHINDWA KUPONA 😭😭😭
Pumzika kwa amani mwanangu, Mungu nilimuomba sana anihurumie kwa ajili yako ikashindikana. Nina maumivu sana.

Inaniuma nimempokea anatembea lakini nikapeleka nyumbani kwetu Jeneza 😭😭 Mungu nitamlilia sana
So sad, Pole sana dada mambo ya Mungu mengi hatuyajui yote. Mungu akufariji katika mapito hayo ya kuondokewa na mtoto.
 
It's very painful
Pole sana
Fuatilia mafundisho ya mwakasege live yanayoendelea kupitia upendo tv au online
Mungu bado anakupenda
Zaburi 34:18- Bwana yu karibu na waliovunjika moyo, Huwaokoa waliopondeka roho.
 
Isaya 41:10-Usiogope, maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia; nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
 
Sikujua kama kuna siku itakuja kuja niishi na maumivu kwa kiasi hiki. Mipango ya Mungu ni Migumu sana sijui hata kwanini kaamua hili.

Mi namuita mtoto wangu, (mtoto wa kaka, kaka ninaemfata kuzaliwa) alifariki july 2025, hakika Mungu kaamua kunipa maumivu.....

Binti yangu huyu alianza kuumwa mwaka jana october, siku ya nyerere day aliamka na uvimbe usoni mama akajua labda kapigana tu na mdogo ake kama kawaida fujo za watoto, siku ya pili uvimbe ukazidi ya tatu uvimbe ni mkubwa hadi umepush jicho nje, wakaenda hospital. Majibu akaaambiwa hawana uhakika ila ni dalili ya cancer (walimficha tu ila walijua ukweli) binti yangu kaanza matibabu na akakaa sawa. Ikawa aje ocean road kuja kuanza chemotherapy.

22 june nikamfanyia booking ya sgr aje kwa ajili ya matibabu, hiyo siku nikaenda kumpokea anatembea mwenyewe anaongea na simu kuwajulisha siblings kuwa kafika nlifurahi kumuona. Tukaanza utaratibu wa hospital, kujisajiri nk.

27 June ilikua birthday yake akitimiza miaka 6 japo ni siku tumetoka hospital ila tuliamua akate keki tule...View attachment 3466019

Ijumaa birthday, jpili hali yake ilibadilika akaanza kutapika usiku jtatu tukaenda muhimbili emergency....tumemuuguza july 16 akafariki mwanangu.

NIMESHINDWA KUPONA 😭😭😭
Pumzika kwa amani mwanangu, Mungu nilimuomba sana anihurumie kwa ajili yako ikashindikana. Nina maumivu sana.

Inaniuma nimempokea anatembea lakini nikapeleka nyumbani kwetu Jeneza 😭😭 Mungu nitamlilia sana
Pole sana my dear, mimi hapa nilifiwa na mwanangu mikononi mwangu 2020… Ila Mungu aliyenipa ndiye aliyetwaa… Naona kama juzi tu… Najua bado una maumivu ila ruhusu moyo wako kukubali… Mwenyezi Mungu akufariji sana, kifo kisikie tu kwa jirani..

Wakati mwingine hatuna budi kukubali mapenzi ya Mungu..

Pole once again shostito…
 
Sikujua kama kuna siku itakuja kuja niishi na maumivu kwa kiasi hiki. Mipango ya Mungu ni Migumu sana sijui hata kwanini kaamua hili.

Mi namuita mtoto wangu, (mtoto wa kaka, kaka ninaemfata kuzaliwa) alifariki july 2025, hakika Mungu kaamua kunipa maumivu.....

Binti yangu huyu alianza kuumwa mwaka jana october, siku ya nyerere day aliamka na uvimbe usoni mama akajua labda kapigana tu na mdogo ake kama kawaida fujo za watoto, siku ya pili uvimbe ukazidi ya tatu uvimbe ni mkubwa hadi umepush jicho nje, wakaenda hospital. Majibu akaaambiwa hawana uhakika ila ni dalili ya cancer (walimficha tu ila walijua ukweli) binti yangu kaanza matibabu na akakaa sawa. Ikawa aje ocean road kuja kuanza chemotherapy.

22 june nikamfanyia booking ya sgr aje kwa ajili ya matibabu, hiyo siku nikaenda kumpokea anatembea mwenyewe anaongea na simu kuwajulisha siblings kuwa kafika nlifurahi kumuona. Tukaanza utaratibu wa hospital, kujisajiri nk.

27 June ilikua birthday yake akitimiza miaka 6 japo ni siku tumetoka hospital ila tuliamua akate keki tule...View attachment 3466019

Ijumaa birthday, jpili hali yake ilibadilika akaanza kutapika usiku jtatu tukaenda muhimbili emergency....tumemuuguza july 16 akafariki mwanangu.

NIMESHINDWA KUPONA 😭😭😭
Pumzika kwa amani mwanangu, Mungu nilimuomba sana anihurumie kwa ajili yako ikashindikana. Nina maumivu sana.

Inaniuma nimempokea anatembea lakini nikapeleka nyumbani kwetu Jeneza 😭😭 Mungu nitamlilia sana
It isn't easy to accept this hard situation... pole sana Evelyn Salt
 
Pole sana my dear, mimi hapa nilifiwa na mwanangu mikononi mwangu 2020… Ila Mungu aliyenipa ndiye aliyetwaa… Naona kama juzi tu… Najua bado una maumivu ila ruhusu moyo wako kukubali… Mwenyezi Mungu akufariji sana, kifo kisikie tu kwa jirani..

Wakati mwingine hatuna budi kukubali mapenzi ya Mungu..

Pole once again shostito…
Ahsante, pole pia....pole sana bestie, apumzike kwa amani little Angel
 
Back
Top Bottom